"Huenda Mwandishi Daud Mwangosi alitumwa awalipue Polisi kwa bomu (Kujitoa mhanga)"

Huyu dogo hana akiri na haina haja ya kumjibu lolote, kwanza bado yupo shule anakabiliwa na kufeli vibaya mtihani wa chuo na akawe kada mzuri wa chama chao. Watu km hawa ni wazuri sana kwani baada ya kuchukua nchi kila aliyetendewa uonevu atalipwa haki yake, so tutawakamata watu km hawa ili watoe ushahidi ni nani anayewatuma waandike vitu km hivi. Huyu hajaibuka tu ila kuna watu km akina Nchimbi wanaogopa kusema ndo wanavituma hivi vi-vuvuzela vyao km mkulu anavyomtuma Nape.
 
Inasikitisha na kuumiza kuwa unaona binadamu mwenzio ameuawa kifo kibaya namna hii,na ukweli uko wazi
unaonekana,lakini unajaribu kujiondoa ubinadamu kabisa na kujigeuza mnyama kwa kutoumizwa na kuuawa
kwake,ila unaleta ushabiki wa kisiasa na kujali maslahi yako ya kisiasa zaidi ya utu.Kumbuka muumbaji wa
wanadamu ni Mungu nae hafichwi jambo lolote liwe la sirini au hadharani,na ndiye aliyeshikilia uhai wetu na
kuuzima kama mshumaa,anajua dhamira yako ya ndani"Acha kiburi cha uzima ndugu yangu.Jaribu kutafakari
maumivu aliyonayo mke wa Mwangosi na watoto wake,na ugeuzie kwako,ndipo unaweza kufurahia kifo cha
binadamu mwenzio."Think Twice"

Mkuu kula like. Kuna mijitu humu duniani ina roho mbaya sana tena huwa wanajisahau kuwa kuna kesho. Mungu awalipie wote wanaochekelea haya mauaji yanayoendelea.
 
Hivi kama wanaokana hizi kwetu sisi hivi wenzetu nje wanatuonaje?Hembu fikiri katika kila watanzania wakiopo katika siasa na fani nyingine unalengana na 6 kama hawa mfululizo kabla hujakutana na yeyote mwenye uelewa.Hawa ndion uzao wa "UDSM" chuo bora Africa.

Huyu mwanasheria, ingekuwa tatizo ni mtazamo tungeelewa ila tatizo ni jinsi alipojipa nafasi ya kuelezea mchakato(kushuhudia).Sijui sheria haina somo ya logic?

Tanzania imezeeka na kupitwa na wakati in many areas.Hata vijana nao wamezeeka haraka sana kifikra, na bado utegemezi kwa wazee wao kifikra hauishi mapema sana nchini Tanzania.Hawa ndio vijana wanotoa majibu km yale ya wazee wao ambao huweka mawe jikoni ili watoto wadhani kuwa kuna chakula jikoni,huku mzee kaenda tafuta.Hawa ndio wazazi wasiojua kuwa watoto pia wanaweza tafuta suluhu ya chakula nyumbani kwa haraka zaidi.India watoto wadogo wasio hata na elimu hutunza wazazi.Ajira kwa watoto ni MBAYA ila kumshirikisha mtoto ktk matatizo ya chakula yanamfundisha kuheshimu chakula na kukihifadhi, anajifunza kuwa na ujasiri wa kuwaambia wengine ukweli kuhusu usalama wa chakula.Vijana wa CCM ndio wale ambao bado wanaona aibu kusema kuwa hawajawahi kula aina fulani ya chakula kwa vile walifundisha chama hakishindwi hata wakiwa faragha.

Haya ndio matatizo ya waafrica wanawalea watoto katik dimbwi lililojaza uongo.Watoto wakikua wanashindwa pata ufahamu sahihi wa "uongo na madhara yake".Wanakuwa na mashaka kujua kama uongo ni absolute na si relative.Madhara yakw ndio kama haya, watu hawaogopi ongea kitu cha kizembe irresponsibly, vijana bila sababu wanadanganya mabinti na kuwajaza mimba, then wanazaliwa toto katik uongo,wanasiasa wandanganya umaa just kupata kitu ambacho wangeweza kipata bila uongo, walimu wanadanganya wanafunzi pale wakiwa hawana jibu ili kuthibitisha kuwa hawashindwi kitu, mwishowe walimu hujikuta mahali wasipoweza endelea ila wanajitahidi danganya.Vitu vingapi CCM wanajua hawawezi fanya ,ila wanapoteza resources zetu kuuficha ukweli? kwa vile walilelewa kwa chungu chenye mawe, na wakaaminishwa kuwa hizo ndizo akili kubwa za wazee wetu.Hawajui wazazi makini hujifunza kwa watoto wao na kuwahimiza watoto waumize kichwa waje fanya kilichowashinda wazee.Na hilo ndilo lengo la wazee wasiosoma kupeleka watoto kupata masomo ya juu zaidi ya wazazi.

Kijana anapoteza muda kujifunza elimu kubwa ya wazee "kuweka mawe jikoni ili kudanganya watoto wenzie".Sound great kwa mtoto anayetamani uzee/madaraka.Watoto wajinga hujifunza tricks na si principals ili wafike haraka.
 
Gharama za kusaka uongozi ndani ya ccm ndio hizi uweunaweza kusema nyeusi kuwa ni nyeupe na nyeupe kuwa ni nyeusi ukishindwa hupati kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom