The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
- Thread starter
- #21
Aiiii nimebanwa na mafiii nisamehe mbrrrr mbrrrrrrrrr mbrrrrr mbrrrrrr Kamoooonnn pata uhondo wa ooshooz
Nyau wewee
Aiiii nimebanwa na mafiii nisamehe mbrrrr mbrrrrrrrrr mbrrrrr mbrrrrrr Kamoooonnn pata uhondo wa ooshooz
Hahahaha walianza na vita ya Tatu ya dunia hukooo Iran...
Wakaja na mafua ya China...
Sasa ni mvua hizo kali....
Watasubiri sana ila ubingwa EPL hatuzuiliki nje ya uwanja na ndani ya uwanja...
Mkuu MASAMILA wewe jiadae Kwa shangwe kama zote it's coming home come May 2020...
For now sky is the limit...
YNWA
Nyuzi za Kipumbavu kama hizi huwaga sina muda nazo
Hahaha hope haupo China ndugu za kule haziaminiki ule za hapa hapa..Mkuu najiandaa kula nyamapori tukichukua ubingwa hahahah
Hayo majengo yaliyozungukwa na maji yamejengwa kwenye mkondo wa mikojo?Mzee kule kwa wenzetu hadi mafuriko yanatokea ujue hakuna jinsi ya kuyaepuka ila kwa kwetu uzembe upo kwa kiasi kikubwa, mfano ilikuwaje yard ya mwendokasi ikajengwa kwenye mkondo wa maji?
Drone Camera pls hii thread yako ilete hapa :Liverpool FC (The Reds) | Special ThreadKama mfia timu Malafyale hayupo bac hii post yako ni umbea
Duuu! Yaani akili zako ndio zimeishia hapo?Hayo majengo yaliyozungukwa na maji yamejengwa kwenye mkondo wa mikojo?
Huu Sio uzi wangu mkuu...ila na mm pia ni mdau wa hilo jukwaa la LiverpoolDrone Camera pls hii thread yako ilete hapa :Liverpool FC (The Reds) | Special Thread
Hapo kuna wachambuzi wengi sana maelfu utaonana nao,nakukaribisha sana
Jibu kwanza tuone akili zangu zimeishia wapi..Duuu! Yaani akili zako ndio zimeishia hapo?
Aiiii nimebanwa na mafiii nisamehe mbrrrr mbrrrrrrrrr mbrrrrr mbrrrrrr Kamoooonnn pata uhondo wa ooshooz
Nyau wewee
Hueleweki kabisa, hebu soma hii...Mzuqa wanajamvi,
Mvua kubwa na kali inayoendelea kunyesha nchini Uingereza inaiweka Timu ya Liverpool pabaya na njia panda kutokutwaa ubingwa wa EPL ambayo wameisubiri miaka 30.
Mvua iyo kubwa inayoambatana na radi inanyesha kila siku nchini uingereza na kusababisha maafa na uharibifu wa miundo mbinu.
Mkuu wa mamlaka wa hali ya hewa uingereza Sergey Shirima ametahadharisha kuna uwezekano mvua hizi zikaendelea hadi mwishoni wa mwezi wa tatu na kuleta maafa na uharibifu mkubwa wa miundo mbinu.
Tayari athari za mvua zimeshajitokeza na mkuu wa kitengo cha maafa uingereza kimetoa tahadhari kwa wananchi hali itakuwa mbaya zaidi uingereza kufunikwa na maji.
Liverpool ambayo jana walinyukwa goli mojana Atletico Madrid round ya kwanza ya Champions league wanaongoza EPL kwa point 23. Kutokana na kuwa na bahati mbaya historia inaweza ikajirudia na kuwafanya wasiwe mabingwa. Ni kuwaombea tuhizi mvua zinazoendelea uingereza zipungue.
5Mzuqa wanajamvi,
Mvua kubwa na kali inayoendelea kunyesha nchini Uingereza inaiweka Timu ya Liverpool pabaya na njia panda kutokutwaa ubingwa wa EPL ambayo wameisubiri miaka 30.
Mvua iyo kubwa inayoambatana na radi inanyesha kila siku nchini uingereza na kusababisha maafa na uharibifu wa miundo mbinu.
Mkuu wa mamlaka wa hali ya hewa uingereza Sergey Shirima ametahadharisha kuna uwezekano mvua hizi zikaendelea hadi mwishoni wa mwezi wa tatu na kuleta maafa na uharibifu mkubwa wa miundo mbinu.
Tayari athari za mvua zimeshajitokeza na mkuu wa kitengo cha maafa uingereza kimetoa tahadhari kwa wananchi hali itakuwa mbaya zaidi uingereza kufunikwa na maji.
Liverpool ambayo jana walinyukwa goli mojana Atletico Madrid round ya kwanza ya Champions league wanaongoza EPL kwa point 23. Kutokana na kuwa na bahati mbaya historia inaweza ikajirudia na kuwafanya wasiwe mabingwa. Ni kuwaombea tuhizi mvua zinazoendelea uingereza zipungue.