GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Kiongozi wa Tajikistan ametaka kukomeshwa kwa nyimbo zinazomsifu, televisheni ya serikali imetangaza leo, katika kipindi ambacho sifa kwa kiongozi huyo zinazidi kuongezeka.
Kiongozi shupavu wa muda mrefu, Emomali Rakhmon ameeleza kutofurahishwa na matangazo yaliyozidi kiasi ya kumsifu kwa kutumia video za muziki, kituo hicho kilisema. " Badala yake, rais ameagiza uongozi wa Kamati ya Televisheni na Matangazo ya Redio kujikita zaidi kutangaza habari za wananchi wanaofanya kazi bila ya kuchoka, mafanikio makubwa ya nchi na uasili wa taifa hilo la kale ".
Shikamoo sana na mno Rais Emomali Rakhmon.
Nawasilisha.
Kiongozi shupavu wa muda mrefu, Emomali Rakhmon ameeleza kutofurahishwa na matangazo yaliyozidi kiasi ya kumsifu kwa kutumia video za muziki, kituo hicho kilisema. " Badala yake, rais ameagiza uongozi wa Kamati ya Televisheni na Matangazo ya Redio kujikita zaidi kutangaza habari za wananchi wanaofanya kazi bila ya kuchoka, mafanikio makubwa ya nchi na uasili wa taifa hilo la kale ".
Shikamoo sana na mno Rais Emomali Rakhmon.
Nawasilisha.