Huenda 2020 tukawa hatuna chama kikuu cha Upinzani wala Kiongozi wa Upinzani Bungeni ( KUB)

Ili uwe na chama kikuu cha upinzani na kiongozi wa upinzani bungeni ni lazima idadi ya wabunge na kura za uchaguzi mkuu zihusishwe.

Kwa sasa ukiondoa CCM chama kingine chenye uwezekano wa kupata wabunge na madiwani ni ACT wazalendo ambayo inawategemea zaidi wapiga kura wa Zanzibar hasa kule Pemba kuwachagulia wabunge.

Ndio kusema 2020 tunaweza kuwa na bunge la vyama viwili tu yaani CCM na ACT wazalendo.
Na inawezekana kabisa kwa idadi ndogo sana ya watakayopata ACT wazalendo watashindwa kutambulika kama kambi " rasmi" ya upinzani na hivyo tukarejea kwenye mfano wa bunge la chama kimoja.

Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo yataende kwa kasi kubwa kama yalivyoenda wakati wa chama kimoja yaani 1961-1992 nchi ilikuwa kama dubai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili uwe na chama kikuu cha upinzani na kiongozi wa upinzani bungeni ni lazima idadi ya wabunge na kura za uchaguzi mkuu zihusishwe.

Kwa sasa ukiondoa CCM chama kingine chenye uwezekano wa kupata wabunge na madiwani ni ACT wazalendo ambayo inawategemea zaidi wapiga kura wa Zanzibar hasa kule Pemba kuwachagulia wabunge.

Ndio kusema 2020 tunaweza kuwa na bunge la vyama viwili tu yaani CCM na ACT wazalendo.
Na inawezekana kabisa kwa idadi ndogo sana ya watakayopata ACT wazalendo watashindwa kutambulika kama kambi " rasmi" ya upinzani na hivyo tukarejea kwenye mfano wa bunge la chama kimoja.

Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo yataende kwa kasi kubwa kama yalivyoenda wakati wa chama kimoja yaani 1961-1992 nchi ilikuwa kama dubai wapinzani wamezuia nchi kupata maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili uwe na chama kikuu cha upinzani na kiongozi wa upinzani bungeni ni lazima idadi ya wabunge na kura za uchaguzi mkuu zihusishwe.

Kwa sasa ukiondoa CCM chama kingine chenye uwezekano wa kupata wabunge na madiwani ni ACT wazalendo ambayo inawategemea zaidi wapiga kura wa Zanzibar hasa kule Pemba kuwachagulia wabunge.

Ndio kusema 2020 tunaweza kuwa na bunge la vyama viwili tu yaani CCM na ACT wazalendo.
Na inawezekana kabisa kwa idadi ndogo sana ya watakayopata ACT wazalendo watashindwa kutambulika kama kambi " rasmi" ya upinzani na hivyo tukarejea kwenye mfano wa bunge la chama kimoja.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee kwani 2015 ilikuaje kule Tanzania Visiwani? Baraza zima lipo mikononi mwa chama tawala. Kwa hiyo hiyo wala haitakuwa ajabu kwa aina ya tume ya uchaguzi tuliyokuwa nayo, msajili wa vyama na muundo wa jeshi la polisi lililopo. Hapo wala haitaji kubadhiri ni "setting" inayosubiriwa kutokea.

Kama watu wamepewa magari, mishahara mizuri, nyumba na marupurupu mengine wataanzia wapi kupingana na tamko la bosi wao? Hawa wa kata, ni juz tu tumeshuhudia wakizikimbia ofisi zao ili kukwepa fomu za watia nia wa upinzani katika ngazi za mitaa, vijiji na vitongoji, sembuse hawa wenye dhamana ya kulinda kura za bosi mwenyewe na wabunge wake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swala ndio tumewaomba viongozi wetu waliweke kwenye meza ya maridhiano
Pamoja na mengineo mengi ambayo yatazungumzwa
Kama ikiwa hivi hakuna anayetilia shaka ushindi wa chadema.

Lkn sidhani kama JPM anaweza kuridhia jambo linalomtafuna mwenyewe. Kwahiyo kwa hili matarajio ya kuafikiana siyaoni.
 
Kama ikiwa hivi hakuna anayetilia shaka ushindi wa chadema.

Lkn sidhani kama JPM anaweza kuridhia jambo linalomtafuna mwenyewe. Kwahiyo kwa hili matarajio ya kuafikiana siyaoni.
Hakuna njia nyingine JPM mwenyewe anauona upepo wa mabadiliko na hawezi kuuzuia hawezi njia pekee ni maridhiano
 
Hata washinde viti vyooote na waongezee na vigoda hata na makochi, it's not our concern....!!!!

Ccm hii ambayo kuna kipindi walitawala wenyewe completely unchallenged na ndio nchi ilidumbukia ktk lindi la umaskini ndio leo hii wataifanyia hii nchi kitu gani huku huo uporaji watakaoufanya hautasamehewa na wale watakaoenda kwao kutembeza bakuli.

Ktk hali hiyo hao wapinzani watakaowapora watakuwa wamepoteza nini tofauti na wao ambao uchumi utawafia mikononi wakipambana na vikwazo kama vya Zimbabwe. Tutaweka macho tuone.
 
"Kama uchaguzi utakuwa huru na haki basi ccm ijiandae kukabidhi dola"
Watanzania wamekichoka chama cha mapinduzi hata mkiwalazimisha vipi ni kwa muda mfupi tu.
Shida ni kwamba tumpe nani? Wanatakiwa wajitokeze watanzania serious sio kujaribu.Kukabidhi dola ni jambo kubwa lazima wananchi tuambiwe utatufanyia nini? LAzima uwe na sera nzuri zenye kueleweka.
 
Shida ni kwamba tumpe nani? Wanatakiwa wajitokeze watanzania serious sio kujaribu.Kukabidhi dola ni jambo kubwa lazima wananchi tuambiwe utatufanyia nini? LAzima uwe na sera nzuri zenye kueleweka.
Ni kweli vitu kama Katiba mpya ni jambo la kwanza kwa Chadema iwapo kitashika dola

Angalia mfano wa KANU huko kenya baada kushindwa vibaya kwenye chaguzi wakatokea viongozi kutoka KANU ambao walikuwa na uzoefu.
 
Back
Top Bottom