Huedna hii ikakusaidia siku moja

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
HUENDA HII IKAKUSAIDIA SIKU MOJA!

ATM.jpg


Endapo utavamiwa na majambazi na wakakulazimisha kuwatolea pesa kwenye ATM, ili kuokoa maisha yako, wala usitaharuki.

Unachopaswa kufanya ni kuingiza namba ya siri kinyume. Kwa mfano kama namba yako siri ni 1234, basi ingiza kama 4321.

Ukimaliza tu kuingiza tarakimu hizo, pesa zitaanza kutoka lakini zitakwama katikati. Ikitokea hivyo, taarifa kwamba kuna uhalifu unatendeka kwenye ATM hiyo itatumwa kwa Afisa Usalama wa benki husika na Kikosi cha Polisi bila ya
m/wahalifu kujua.

Kila ATM ina mfumo huu, bahati mbaya ni kwamba mabenki hawawaelimishi wateja wao kuhusu tahadhari hii.

Wasambazie taarifa hii ndugu, jamaa na marafiki wote, huenda ukaokoa maisha ya mmoja wao.
 
Teh teh..Watu walivyokuwa Matomaso..ukiwaambia hivi watataka kujaribu..
 
HUENDA HII IKAKUSAIDIA SIKU MOJA!

View attachment 319422

Endapo utavamiwa na majambazi na wakakulazimisha kuwatolea pesa kwenye ATM, ili kuokoa maisha yako, wala usitaharuki.

Unachopaswa kufanya ni kuingiza namba ya siri kinyume. Kwa mfano kama namba yako siri ni 1234, basi ingiza kama 4321.

Ukimaliza tu kuingiza tarakimu hizo, pesa zitaanza kutoka lakini zitakwama katikati. Ikitokea hivyo, taarifa kwamba kuna uhalifu unatendeka kwenye ATM hiyo itatumwa kwa Afisa Usalama wa benki husika na Kikosi cha Polisi bila ya
m/wahalifu kujua.

Kila ATM ina mfumo huu, bahati mbaya ni kwamba mabenki hawawaelimishi wateja wao kuhusu tahadhari hii.

Wasambazie taarifa hii ndugu, jamaa na marafiki wote, huenda ukaokoa maisha ya mmoja wao.
MziziMkavu akili yako imechoka kufikiri na kuvumbua tiba mbadala? Jikite kwenye taaluma yako mkuu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom