Mtumwa baniani
Senior Member
- Apr 13, 2013
- 128
- 26
- Thread starter
- #21
Mnapatikana wapi? I mean ofisi zenu ziko wapi? Kuna kazi nataka kuleta urgently.
Tuko K/koo, karibu PM
Mnapatikana wapi? I mean ofisi zenu ziko wapi? Kuna kazi nataka kuleta urgently.
Mnapatikana wapi? Its Urgent Mkuu!
mkuu mnaweza kutafsir kwenye kada zote mfano.
siasa,udaktari,uchumi,uhandisi na habari
kama mpo vizur kwnye lugha zote tupeane taarifa
Tunafanya ufasiri kwenye Kada zote ulizotaja pamoja na nyingine zote.
Jamani,bado huduma hizi zipo. Karibuni na hamtajutia.Ooyoo sasa mpo sehemu ipi ya kariakoo na namba ya simu
ok. mimi pia ni mtaalamu wa kuandaa vitabu mbalimbali ikiwemo kuandaa miswada(manuscripys) na kuedit. i can help you in your work.Tuko K/koo, PM namba yako tuelekezane
Tukihitaji wataalam katika maeneo hayo tutakujulisha maana kwa sasa tumekamilika.Natoa huduma bora ya Book Editing and manuscript preparation. Ili kufanya kitabu chako na machapisho mengine kuwa vyenye ubora.
Mie nafanya graphics but normal graphics. Je wewe ulikua unahitaji mtu akave eneo hilo katika vipengele vp? Cover designs? Text designs?Kwa sasa tunahitaji graphics Designer,alie na ujuzi aje PM.
Nahitaji mtu creative ambae anaweza kudesign hasa covers za vitabu, kufanya page setting nzuri na mtu mwenye ideas nzuri za kibunifu katika eneo hilo.Mie nafanya graphics but normal graphics. Je wewe ulikua unahitaji mtu akave eneo hilo katika vipengele vp? Cover designs? Text designs?