Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Baada ya kusikiliza maoni ya Mheshimiwa Lema aliyoyatoa wiki iliyopita, nimelitafakari sana wazo lake kuhusu huduma ya maji, maji ni muhimu sana kwa maisha ya kila siku ya binadamu. Yakichukuliwa kibiashara biashara ya maji ina faida kubwa.
Tanzania tumebahatika kuwa na vyanzo vingi vya maji, kama kutakuwa na mipango mathubuti ya kuhakikisha miraji mikubwa ya kuchota maji kutoka kwenye boreholes na kujenga reservoirs za kuboresha maji ili yawe salama kwa matumizi ya jamii.
Mfano tu kama kila kaya itawekewa flat rate ya 30,000 na vijijini 20,000. Managing Direrector awe Corporate na apewe nguvu za kufanya maamuzi mradi havunji sheria zilizotungwa na bunge kwa miradi ya jamii.
Kila kanda iwe na kampuni yake inayojitegemea na ikiwezekana serikali itafute share holders. Biashara iwe na msimamo wasiolipia maji wanakatiwa na kama kukitokea mahitaji ya matengenezo taarifa itolewe siku mbili kabla ili watu wahifadhi maji, na matengenezo yafanyike katika masaa 12 ya siku. Kama matengenezo yatakuwa ni zaidi ya masaa 24 magari ya maji yatoe huduma za maji mtaani.
Tanzania tumebahatika kuwa na vyanzo vingi vya maji, kama kutakuwa na mipango mathubuti ya kuhakikisha miraji mikubwa ya kuchota maji kutoka kwenye boreholes na kujenga reservoirs za kuboresha maji ili yawe salama kwa matumizi ya jamii.
Mfano tu kama kila kaya itawekewa flat rate ya 30,000 na vijijini 20,000. Managing Direrector awe Corporate na apewe nguvu za kufanya maamuzi mradi havunji sheria zilizotungwa na bunge kwa miradi ya jamii.
Kila kanda iwe na kampuni yake inayojitegemea na ikiwezekana serikali itafute share holders. Biashara iwe na msimamo wasiolipia maji wanakatiwa na kama kukitokea mahitaji ya matengenezo taarifa itolewe siku mbili kabla ili watu wahifadhi maji, na matengenezo yafanyike katika masaa 12 ya siku. Kama matengenezo yatakuwa ni zaidi ya masaa 24 magari ya maji yatoe huduma za maji mtaani.