Huduma Za Afya Nazo Utata!

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,711
2,226
Nilienda eneo moja linaitwa Ipinda kutembelea ndugu jamaa na marafiki nikakutana na kero moja ya huduma za afya.
Wakati DSM na maeneo mengi TZ kumuona Mganga ni 500 lakini kule ni 1500 ambayo to me ni kiasi kikubwa mno kwa watu walio vijijini.Mbaya zaidi naambiwa maeneo mengine ni mpaka 5000 kumwona tuu Dk kwa hospitali za serikali kama Rufaa Mbeya.Wakati juzi tuu nimetoka pale Regend-DSM nikalipia 5000 kumwona Daktari na iyo ni Private hospital.
Hii serikali naona haina ata chembe ya uchungu kwa raia wake gharama za maisha zazidi kwenda juu hasa kwa kuchochewa na vijigarama kama ivyo.
 
Njowepo, hapa unampigia mbuzi gitaa ... yani hawajui kabisa wala hayawahusu .. wao ni nje nje na wao kwanzia baba mama na watoto wote wanatibiwa nje.

kwenye mawodi ndiyo usiseme watu wanarundikana watatu mpaka wanne kwenye kitanda kimoja isitoshe wote wanakuwa na maradhi tofauti ...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom