mwanaasili
New Member
- Apr 2, 2012
- 4
- 3
Vodacom imeanzisha huduma ya SUPA CHEKA ambayo wanadai kuwa inakupa muda wa kuongea, SMS na internet bandwidth kwa saa 24.
Cha ajabu ni kuwa unapojiunga kwenye huduma hiyo, bila kujali umejiunga saa ngapi, unatumiwa SMS kuwa utumie benefits hizo kabla ya saa 5:59 usiku. Ninajiuliza masaa 24 ya vodacom yanahesabiwa vipi.
Napenda vodacom wajue kuwa ushindani wa biashara unahitaji kuwa muumgwana Hass kwa wateja Wako. Mimi nilitegemea kuwa SUPA CHEKA ni jibu la Tigo X-TREME. Lakini sasa wakati Tigo wanakupa saa 24 za ukweli toka unapojiunga, vodacom wanafanya kutuvunga.
Ninashauri huduma itangazwe mama vile inavyotolewa kwa Nia njema kuwa atakayeipenda ataitumia lakini sio kutoa matangazo ya ulaghai halafu huduma inakuwa ndivyo-sivyo.
Ninaomba Vodacom wajirekebishe!
Cha ajabu ni kuwa unapojiunga kwenye huduma hiyo, bila kujali umejiunga saa ngapi, unatumiwa SMS kuwa utumie benefits hizo kabla ya saa 5:59 usiku. Ninajiuliza masaa 24 ya vodacom yanahesabiwa vipi.
Napenda vodacom wajue kuwa ushindani wa biashara unahitaji kuwa muumgwana Hass kwa wateja Wako. Mimi nilitegemea kuwa SUPA CHEKA ni jibu la Tigo X-TREME. Lakini sasa wakati Tigo wanakupa saa 24 za ukweli toka unapojiunga, vodacom wanafanya kutuvunga.
Ninashauri huduma itangazwe mama vile inavyotolewa kwa Nia njema kuwa atakayeipenda ataitumia lakini sio kutoa matangazo ya ulaghai halafu huduma inakuwa ndivyo-sivyo.
Ninaomba Vodacom wajirekebishe!