teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
Nahitaji huduma ya kwanza laptop yangu imegoma ku display imewaka kwenyekeyboard inaonyesha lkn kioo hakionyeshi. Nifanyeje kabla ya kupeleka kwa fundi.
Asante nilifanikiwashikilia kitufe cha volume + ,na cha kuwashia vyote kwapamoja mpaka logo ionekane then check kama touch inafanya kazi baada ya kufuata maelekekzo fanya ku restart window
pamojaAsante nilifanikiwa