Huduma ya Internet kutoka mitandao ya simu

Buswelu

JF-Expert Member
Aug 16, 2007
1,998
351
Hi Wana JF

Tanzania tuko na mitandao mitatu ya simu inayo toa huduma ya internet.Kati ya hiyo ni upi ambao huduma zao ni faster sana.
Na rate zao ni sh ngapi kwa KB or MB kadhaa?..nafahamu kuwa ufungua website yenye image kubwa ndipo pesa hutumika nyingi.

Je ukitaka kuwa na huduma ya internet kwenye laptop yako home ni kifaa ngani unachokuwa unatumia.Please kama kuna mtu anatumia internet via mtandao mmojawapo wa simu naomba anisaidie.

Some time unapokuwa out of the office au wakati wa likizo unakosa habari muhimu kwenye internet or JF kuchangia mada kwa kuwa internet huna.

NB:Nataka kuwa natumia kwenye laptop.Sio simu ya mkononi.

Regards
Buswelu
 
Hi Wana JF

Tanzania tuko na mitandao mitatu ya simu inayo toa huduma ya internet.Kati ya hiyo ni upi ambao huduma zao ni faster sana.
Na rate zao ni sh ngapi kwa KB or MB kadhaa?..nafahamu kuwa ufungua website yenye image kubwa ndipo pesa hutumika nyingi.

Je ukitaka kuwa na huduma ya internet kwenye laptop yako home ni kifaa ngani unachokuwa unatumia.Please kama kuna mtu anatumia internet via mtandao mmojawapo wa simu naomba anisaidie.

Some time unapokuwa out of the office au wakati wa likizo unakosa habari muhimu kwenye internet or JF kuchangia mada kwa kuwa internet huna.

NB:Nataka kuwa natumia kwenye laptop.Sio simu ya mkononi.

Regards
Buswelu

http://www.tz.celtel.com/en/phone-services/internet-access/index.html
How to connect using your PC?
To connect to Celtel Access using a Computer follow the instructions below.

Insert the SIM card into the PC Card (e.g. GC85 Sony Ericsson), attach the antenna to the card, and insert the GC85 Sony Ericsson PC Card into the laptop’s PCMCIA slot.
If the Sony Ericsson Wireless Manager does not come up automatically, double-click on the desktop shortcut.
Click on the Connection Wizard (The Wand Icon).
Select Create a New Connection, give it a title (Celtel TZ) and press the Next button.
Choose Connection Type – GPRS
Service Provider should be Celtel TZ
Check APN (Access Point number) internet.tz.celtel.com Choose Next
You do not have to enter or change User ID or Password , just choose Next. Press Finish to save your modifications
To select the connection just created: Select your connection (Celtel TZ) from the drop-down list and choose Connect
Tariffs
 
FOR DETAILS ON USING SIM CARD ON YOUR PC CARD, DOWLOAD THE ATTACHED MANUAL,
Kila la kheri
 

Attachments

  • EDGE WIRELESS PC.pdf
    847.7 KB · Views: 343
Mimi natumia Celtel, na simu aina ya Nokia 3110 Classic, na nimeunga na laptop yangu Win xp Op syst. Nadhani simu nyingine yenye mambo ya bluetooth, infrared, usb cable itafanya. Kwa upande wangu natumia cheap bluetooth device "bluesolei IVT" niliyo nunua 20,000 kwenye duka/cafe moja mwenge brbr ya Africa Sana tuta karibu na flatz za jeshi.
Install kwanza bluetooth kwen laptop kisha pair devices (yaani simu na laptop yako)
Ingia simu yako,settings, connectivity, packet data (ondoa when needed, weka always online kwa muda unaoshughulikia swala hili, utarudisha when needed baadaye)(NOKIA)
Rudi nyuma kidogo, "Packet data settings" Chagua yoyote ipe jina kama "Nokia so&so"
Edit active access point, edit uliyoipa jina, Ok?
Packet data access point, weka maneno haya "internet.tz.celtel.com"
Safi, sasa rudi kwenye laptop yako
Tengeneza network dial up connection,
yaani nenda my network places, view network connections, click file af new connection.
New connection Wizzard
Next
Connect to the internet
next
Set up my connection manually
next
connect using a dial up modem
next
Chagua modem, mimi nimetumia bluetooth DUN Modem
ISP Name. weka jina lolote kama Celtel etc
Next
Phone number weka *99#
User Name na password achana nayo.
next add shortcut on desktop (tick) finish
Doubleclick shortcut uliyopata kwenye desktop, click dial.
Subiri kidogo iunge,
Anza ku brauz
Usisahau kuchungulia salio lako, inanyonya mkwanja, epuka kudownload vitu vikubwa vikubwa usije ukafilisika.
 
Mimi natumia Celtel, na simu aina ya Nokia 3110 Classic, na nimeunga na laptop yangu Win xp Op syst. Nadhani simu nyingine yenye mambo ya bluetooth, infrared, usb cable itafanya. Kwa upande wangu natumia cheap bluetooth device "bluesolei IVT" niliyo nunua 20,000 kwenye duka/cafe moja mwenge brbr ya Africa Sana tuta karibu na flatz za jeshi.
Install kwanza bluetooth kwen laptop kisha pair devices (yaani simu na laptop yako)
Ingia simu yako,settings, connectivity, packet data (ondoa when needed, weka always online kwa muda unaoshughulikia swala hili, utarudisha when needed baadaye)(NOKIA)
Rudi nyuma kidogo, "Packet data settings" Chagua yoyote ipe jina kama "Nokia so&so"
Edit active access point, edit uliyoipa jina, Ok?
Packet data access point, weka maneno haya "internet.tz.celtel.com"
Safi, sasa rudi kwenye laptop yako
Tengeneza network dial up connection,
yaani nenda my network places, view network connections, click file af new connection.
New connection Wizzard
Next
Connect to the internet
next
Set up my connection manually
next
connect using a dial up modem
next
Chagua modem, mimi nimetumia bluetooth DUN Modem
ISP Name. weka jina lolote kama Celtel etc
Next
Phone number weka *99#
User Name na password achana nayo.
next add shortcut on desktop (tick) finish
Doubleclick shortcut uliyopata kwenye desktop, click dial.
Subiri kidogo iunge,
Anza ku brauz
Usisahau kuchungulia salio lako, inanyonya mkwanja, epuka kudownload vitu vikubwa vikubwa usije ukafilisika.

>>je,process hiyo ni kwa celtel (zain) tu au hata mitandao mingine kama voda?Natumia voda.
Nimejaribu nimechemsha sijui nimekosea wapi?
 
kuna modem za HUAWEI zinauzwa na Vodacom na Zantel. Ktk hizi modem unapewa special SIm card ambayo unarecharge kama simu ya kawaida (pre-paid). Vodacom is better in terms of speed and quality of service but a little more expensive.
 
zantel is more better and less expensive than all hata configurations zake ni rahisi kufanya


Mimi natumia ya simu ya CDMA2000 ya ZAntel naconnect kwenye computer kubwa hizi zipo slow sana ukitaka kufungua JF unaweza usipate ila ni cheap sana...
Lakini kwenye Laptop natumia EVDO ya Zantel hii ipo faster kuliko maelezo. Hii EVDO inauzwa 350,000/= na gharama zake ni cheap sana ukiweka vocha ya 20,000/= kwa sisi wenye matumizi makubwa unatumia wiki 3.
Hiki kinapatikana pale Zantel makao makuu.
 
Mimi natumia ya simu ya CDMA2000 ya ZAntel naconnect kwenye computer kubwa hizi zipo slow sana ukitaka kufungua JF unaweza usipate ila ni cheap sana...
Lakini kwenye Laptop natumia EVDO ya Zantel hii ipo faster kuliko maelezo. Hii EVDO inauzwa 350,000/= na gharama zake ni cheap sana ukiweka vocha ya 20,000/= kwa sisi wenye matumizi makubwa unatumia wiki 3.
Hiki kinapatikana pale Zantel makao makuu.

Asante mkuu kwa taarifa hii muruwa, lakini hayo matumizi makubwa ni kama yapi?
 
kuna modem za HUAWEI zinauzwa na Vodacom na Zantel. Ktk hizi modem unapewa special SIm card ambayo unarecharge kama simu ya kawaida (pre-paid). Vodacom is better in terms of speed and quality of service but a little more expensive.

Duh! umeniacha njia panda, Jana nilikuwa office za voda kwa ajili yakuchukua line mpya kwa ajili ya Huawei data card yangu lakini cha ajabu nikapewa line ya kawaida japokuwa niliuliza kuwa hakuna line maalum au yenye aina tofauti yakulipia ,wakanijibu kuwa ni hii ndio inatakiwa.ila inafanya kazi kwenye speed sijui maana data card ni 3G sasa sijui ninikitakacho endelea.

Ila kwa watumiaji wa hizi Gprs internet mnaweza ku-fanya Configuration katika Browser zenu zisiweze kudownload picture pindi unapokuwa unatumia net itasaidia sana bajeti.
 
Mimi natumia ya simu ya CDMA2000 ya ZAntel naconnect kwenye computer kubwa hizi zipo slow sana ukitaka kufungua JF unaweza usipate ila ni cheap sana...
Lakini kwenye Laptop natumia EVDO ya Zantel hii ipo faster kuliko maelezo. Hii EVDO inauzwa 350,000/= na gharama zake ni cheap sana ukiweka vocha ya 20,000/= kwa sisi wenye matumizi makubwa unatumia wiki 3.
Hiki kinapatikana pale Zantel makao makuu.
Ni unlimited...na nikiwa nadownload inakaa wiki 3?
 
Jamani naona mmeniacha mbali sana kuhusu hii topic labda na mimi niulize...Vipi na mimi nina laptop yangu natumia lakini pia ni computer ya ndani na baadhi ya watu wanasema kwamba naweza kuconnect laptop yangu na internate yangu ya ndani na laptop ikawa inatumia internate ile ya computer ya ndani sasa hili swala ni la ukweli jamani???Pia kuna linik yoyote ambayo naweza kupata online nikaset nikaweza kupata internate kweli laptop yangu??Msaada hapo please
 
Asanteni kwa maelezo mazuri ya internet kwa njia ya mobile phone,mi nina swali jingine, kuna internet nyingine yeyote ambayo mtu anaweza unganisha nyumbani zaidi ya ile ya satelite ambayo ilikuwa expensive sana. Dar es salaam, morogoro, mbeya etc..
 
Ttcl wana broadband ambayo imegawanyika sehemu karibu 3 home , busness na standard ukiongea nao wanakuletea hapo ulipo ingawa sio sehemu zote inategemea na miundombinu
 
Back
Top Bottom