Wadau napenda kufahamu hivi makampuni ya nje kwa nini yasiuze internet hapa bongo?? nini kikwazo??
nakitaalamu limekaaje hili maana internet nibiashara kubwa kama ni possible kufanyika. natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
nakitaalamu limekaaje hili maana internet nibiashara kubwa kama ni possible kufanyika. natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app