High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,077
Jamani hivi ni ni mimi tu ndio nafanyiwa na kupata usumbufu ambao sio wa lazima kwa mtandao ya simu wakati umekaaa na unaendelea na kazi utasikia simu unapigiwa ukipokea uanaambiwa karibu huduma ya mziki naacha kazi za office na kusikiliza kitu ambacho hakina umuhimu hiv mitandao inajua kuwa baaadhi ya huduma wanazotoa kwa wateja ni kero na nyie ndugu zangu mnapigiwa