Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 616
- 419
Reply yangu kaipotezea, si unaona sasa ninachomaanisha ninaposema suala la huduma kwa wateja kwa hawa jamaa
Ha ha ha h kwa kweli hata mimi bado sanaSijapata sababu ya kuhamia Halotel...
Sajiri laini ya chuo sh 5,000 hutajutia
Naiset vipi mbona line zingine ukiweka automatically napata configuration settingsUmefanya kuset internet ya halotel kwenye simu yako
UTANGULIZI
MIDUNDO ni huduma ya muziki inayompa mtumiaji nafasi ya kufurahia nyimbo kwenye simu ya mkononi muda wowote na mahali popote zikiwemo video, miziki, albamu, miito, milio pamoja na picha.
JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
Kusajili
- Kifurushi cha Siku: Piga *15574*1# au tuma ON kwenda 15574
- Kifurushi cha Mwezi: Piga *15574*7# au tuma ON7 kwenda 15574
- Unaweza kupata huduma ya midundo kwa kutembelea http://midundo.co.tz
FAIDA ZA HUDUMA
Huduma inawawezesha watumiaji wa HALOTEL kufurahia miziki mbalimbali mizuri kutoka sehemu mbalimbali muda wowote na popote.
GHARAMA ZA HUDUMA
Gharama za Kifurushi
- Kifurushi cha Siku: Tsh 60
- Kifurushi cha wiki: 300 Tsh
Kupakua
- Wimbo: Tsh.300
- Mlio: Tsh.150
- Muito: Tsh.400
- Video: Tsh.300
- Radio: Tsh.300
- Picha: Tsh.100
Kwa gharama hizi, mtumiaji wa HALOTEL aliyejisajili kwenye huduma atatumia data bure kutazama na kusikiliza nyimbo.
JOIN WITH US
- Facebook: VAS Halotel
Naomba uliza swali lako vizuri ili nikuelewa.AhsanteHapo kifu
Hapo kifurushi cha siku 60
na wiki 300 sjaelewa kwamba kwa sh 60 unapata mb ngapi,sms,dk so ebu elezea vizuri.ahsanteh
Naomba uliza swali lako vizuri ili nikuelewa.Ahsante
Mbona haujajibu mpaka leo mkuu?!!Naomba uliza swali lako vizuri ili nikuelewa.Ahsante
Kipengele hiki kinahusisha huduma hii tu siyo kifurushi kinachohusiana na dakika wala Mb.View attachment 443924
Hiki kiprngere sjaelewa mkuu hiki kifurushi kinakuwaje na unajiungaje?!