Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Niko hapa DSTV main office Dar es Salaam niko kwenye foleni kwa zaidi ya masaa mawili huku mbele yangu kuna wateja wanne tu wote tukihitaji huduma ya kulipia malipo ya mwezi kwa packages mbalimbali. Kwa kweli ni aibu na utendaji mbovu usio na tija wala umakini kwa mteja mmoja kuhudumiwa kwa zaidi nusu saa. Maswali na concenrns zangu kwa wahusika juu ya utatuzi wa tatizo hili;
1. Je billing server iko hapa Dar au J'burg na kama haipo hapa kwa nini wasideploy local server kurahisisha billing process?
2.Kwa nini wahudumu wenu hawana kauli nzuri kwa wateja au mmeajiri watu ambao they are not professionals?
3.Kwanini msiongeze vituo vya kulipia hapa Dar na hata mikoani maana huduma yenu ya kuilipia kwa sms haifanyi kazi ipasanyo?
4. Tunaomba mlifanyie kazi suala hili nasi tufurahie huduma zenu ambazo tunazihitaji sana.
Mteja aliyekerwa sana
1. Je billing server iko hapa Dar au J'burg na kama haipo hapa kwa nini wasideploy local server kurahisisha billing process?
2.Kwa nini wahudumu wenu hawana kauli nzuri kwa wateja au mmeajiri watu ambao they are not professionals?
3.Kwanini msiongeze vituo vya kulipia hapa Dar na hata mikoani maana huduma yenu ya kuilipia kwa sms haifanyi kazi ipasanyo?
4. Tunaomba mlifanyie kazi suala hili nasi tufurahie huduma zenu ambazo tunazihitaji sana.
Mteja aliyekerwa sana