Huduma maji inapatikana 24

daraja la kigamboni

JF-Expert Member
Apr 28, 2016
2,460
2,160
Mbunge ametimiza ahadi ya kuleta mtaani kwetu
6tag-3035713892-1352013329711176875_3035713892.jpg
 
Hongera kwa mbunge huyo, Maji nimeyapenda sana, ila naomba tuu yaepuke kupitiwa mtaro wa Maji taka! Maana yatakua hayana thamani tena!
 
Mweeeh maweee, halafu ndio mko nyumba ya kupanga unaitwa jubilant njoo unisaidie koki haifungi vizuri! mweee
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom