Hubert Velud ni kocha mpya wa Simba Sports Club kutoka Ufaransa

Simba hawajahi kuwa na kocha mbovu kwa miaka ya karibuni
Nawafiki. Hapa tutarajie mojawapo ya mambo mawili: aondoke Hans Poppe na genge lake ili kocha afanye kazi yake, au kocha ajiondokee zake aliwache hilo genge liendelee na mambo yake.
Aidha, tuangalie pia mazingira ya timu alizofanyia kazi huyo kocha na kufikia hayo mafanikio yaliyowavutia Simba. Timu zote alizofundisha kocha huyo ni kutoka nchi zinazoongea Kifaransa (Francophone). Hizo nchi zina mifumo na utamaduni wa kisoka tofauti na nchi zinazoongea Kiingereza (Anglophone). Hata kama kocha atakuwa fasaha wa Kiingereza, bado mifumo na utamaduni wa soka la hapa unaweza kuwa changamoto kwake. Tusubiri tuone.
 
Kwa kuwa kocha ni mzungu utaona wachezaji wa simba watakavyobadilika fasta , kuna dharau flani iv kwa wachezaji wetu kocha anapokuwa mweusi km wao, ili tatizo naliona hta kwa timu ya taifa mayanga ana struggle coz ni mweusi mwenzao na kibaya zaidi ni mtanzania mwenzao! Hpo dharau ni maradufu
 
Kwa kuwa kocha ni mzungu utaona wachezaji wa simba watakavyobadilika fasta , kuna dharau flani iv kwa wachezaji wetu kocha anapokuwa mweusi km wao, ili tatizo naliona hta kwa timu ya taifa mayanga ana struggle coz ni mweusi mwenzao na kibaya zaidi ni mtanzania mwenzao! Hpo dharau ni maradufu
Tunapa makocha wazuri sana. Lakini wachezaji wa Tanzania ni wagumu kupokea mafundisho sahihi.

Na nidhamu ni zero,
 
Hasa ukiangalia rekodi yake, hana tabia ya kukaa na timu muda mrefu. Mara nyingi amekuja na timu kwa mwaka mmoja tu. Sijui tatizo ni yeye, au ni hizo timu anazokutana nazo?
Mmh hapo sidhani kama Simba walijiridhisha vyema kwa maana nijuavyo atakuja na mfumo wake tofauti na huu, sasa hapo kwenye ubadilishaji mfumo timu ikiboronga tu kidogo huyo hana chake
 
Mmh hapo sidhani kama Simba walijiridhisha vyema kwa maana nijuavyo atakuja na mfumo wake tofauti na huu, sasa hapo kwenye ubadilishaji mfumo timu ikiboronga tu kidogo huyo hana chake
Ndo uonavyo wewe mkuu. Lakini tunaamini kocha mzuri apewe ushirikiano viongozi na wachezaji ndo shida iliyopo. Lakini si mfumo sa ijapokuwa kuna ugumu fulani kwa wachezaji wa Tanzania kupokea
 
Ndo uonavyo wewe mkuu. Lakini tunaamini kocha mzuri apewe ushirikiano viongozi na wachezaji ndo shida iliyopo. Lakini si mfumo
Tusubiri ila historia ya makocha wageni wangapi wanaokuja hapo Simba na hawakai sana nadhani unaijua
 
Tusubiri ila historia ya makocha wageni wangapi wanaokuja hapo Simba na hawakai sana nadhani unaijua
Sioni ajabu mkuu kutimuliwa. Timu yenye kuweza kukaa na kocha muda mrefu ni Arsenal pekee duniani, angalia Zidane juzi katoka kuwapa mataji lakini tetesi zimeanza.
 
Back
Top Bottom