Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,681
- 3,346
- Thread starter
- #21
Figisu za nini sasa kwa Huawei kama technology yote ni mali ya USA?. Yawezekana kuwa bado ni mshamba kwenye ugunduzi wa kiteknolojia.Hebu jaribu kufuatilia kila aina ya teknolojia na historia yake.Nahisi kuna kitu utajifunza.Mwisho wa yote,ngoja Huawei afanye yake,mimi na wewe tubaki kwenye upigaji zumari kwa pande zetu tuziaminizo.China China China tu.kwanini mnapigia debe China wakati kazi yao ni copy na paste na fakes. Au nyie ni wauza simu za kichina na mmeona Sasa hazitauzika ndiyo mnahangaika kupiga debe. Marekani ndiyo wavumbuzi wa internet na simu za mkononi wengine wote watajifunza kwake.jiulize kwanini China anatengeneza simu halafu anategemea OS ya marekani