G-traveller
Member
- Jul 20, 2019
- 27
- 122
Hata hivyo india wana simu nyingi mid range phones so kama manufacturers wa china wakipgwa ban wote kutumia android utaona ka simu za mchina zitauzwaVivo ni mchina na yuko chini ya BBK ELECTRONICS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo india wana simu nyingi mid range phones so kama manufacturers wa china wakipgwa ban wote kutumia android utaona ka simu za mchina zitauzwaVivo ni mchina na yuko chini ya BBK ELECTRONICS
nilikuambia simu pekee za gharama kwa huawei ni mate series na p series. The rest ni mid range kama siyo budget phones. Huawei anazalisha mid range na low end nyingi kuliko anavozalisha high end. unakwama wapi?
Akikujibu nitagMkuu nimekutumia zote fanya mwenyewe compares mbona kitu rahisi haya ebu nipe huawei simu bei rahisi unayoijua wewe ya mwaka huu au mwaka jana
Akikujibu nitag
Hahahahahaha labda anachimba madini google
nyie watoto wa jahkaya akili zenu hata hamtofautiani na yale ya kusema dhaifu ni tusi...sasa kama nakuona shalow nikuitaje jiwe? unadhani miaka 10 jamiiforums najifunzishaga ujinga humu??Nimekuwa boya tena? hivi ni wapi nimekutukana mimi hii ni dalili ya kushindwa Wikipedia sio sawa na Quora.
.
Quora ni sawa na JF unauliza swali unajibiwa na mijadala mingine mbalimbali ukileta ujinga unapigwa ban fasta tu, nimekueleza hivi hizo links unazoleta ni za U.S ambao unawaponda kwanini nilisema hivi?
.
Ulisema Quora ni pro westerners wengi wamejaa kwanza nilicheka kuangalia CNBC ni ya wapi nikacheka zaidi kuangalia Techradar ni ya wapi nikajikuta nacheka hadi nanyanyua miguu juu alafu hizihizi media zikitoa habari kuhusu Iran mnasema ni fake news ila kwenye Huawei ni kweli pole sana mzee.
Moderator Maxence Melo sheria za JF zinaruhusu hiki?
Tulia bei utapata na jina la mtaa zinapouzwa sio bei za mtandao. Huawei hamna kitu bado saaaana.
Kinachogomba ni apps sio OS. Windows na BB kilichowaungusha ni apps sio OS.
Visa ya UK ni usumbufu sana. Ila bei utapewa kw ujumla zimeshuka bei sana hamna kitu.
kuwa JF miaka 10 haina maana unajua mambo ya IT kunishinda hiki sio chuo cha kufundisha IT.nyie watoto wa jahkaya akili zenu hata hamtofautiani na yale ya kusema dhaifu ni tusi...sasa kama nakuona shalow nikuitaje jiwe? unadhani miaka 10 jamiiforums najifunzishaga ujinga humu??