Huawei tayari wamekamilisha Operating System (OS) yao

Embu soma hii myb utanielewa kwa kivingineView attachment 1180349
Sasa hii ina mantiki gani? Iphone mauzo yameshuka china na si nje ya china na yameshushwa na Huawei na huawei wanatumia android.
Sasa hapa tunazungumzia OS yao kuifunika android siyo rahisi maana watumiaji wa android wanaitumia kwasababu ya wingi wa apps zake ambazo ni za kimarekani.
Ebu nitajie app moja maarufu ambayo watu wanaipenda saana kama ambayo siyo aya Marekani?
Hiyo Os ya huawei kampuni za kimarekani kama facebook ambayo imamiliki whatsapp, facebook na instagram na kampuni inayomiliki snapchat, kampuni kama google inayomiliki youtube na apps kibao zikiwekewa ban zisisupport hiyo OS bado huawei watashindwa kupenya nje ya china labda waitumie wachina tu huko.
Jiulize na huduma lukuki za wechat mbona wanaoitumia ni wachina tu hata watu weng huku hawaijui? We ushawahi tumia wechat?
 
Sasa hii ina mantiki gani? Iphone mauzo yameshuka china na si nje ya china na yameshushwa na Huawei na huawei wanatumia android.
Sasa hapa tunazungumzia OS yao kuifunika android siyo rahisi maana watumiaji wa android wanaitumia kwasababu ya wingi wa apps zake ambazo ni za kimarekani.
Ebu nitajie app moja maarufu ambayo watu wanaipenda saana kama ambayo siyo aya Marekani?
Hiyo Os ya huawei kampuni za kimarekani kama facebook ambayo imamiliki whatsapp, facebook na instagram na kampuni inayomiliki snapchat, kampuni kama google inayomiliki youtube na apps kibao zikiwekewa ban zisisupport hiyo OS bado huawei watashindwa kupenya nje ya china labda waitumie wachina tu huko.
Jiulize na huduma lukuki za wechat mbona wanaoitumia ni wachina tu hata watu weng huku hawaijui? We ushawahi tumia wechat?
Utapata shida ndugu, watu wanajifanya hawakuelewi kwenye point ndogo sana. Inabidi waeleze ni vipi kwa mazingira ya sasa ukatumia simu bila app za mmarekani kama zitapigwa ban kwenye hiyo os? yaani bila youtube, whatsap, facebook, instagram, google service, gmail, gmap, hiyo os kama haitakuwa na hivyo vitu hata kama simu ina ubora gani, kuna kutoboa kweli?
 
Isi kariri..china anatumia Stratergy kibao kwenye biashara zake especially Low-cost leader kwa Africa coz anajua Africans what they like na ndio maana katoboa...mda uo U.S wanaringa na Differentiation strategy kwa Africa hawez teka soko...

Mind you China Vitu genuine vipo tena sana tu...sema inaonekana huvijui na huwa unapigwa sana
Mm kupigwa tena?. Heheh tunazungumza the same thing ila sikuwa na maana kwamba vitu ambavyo jamaa anauza africa vina ubora. China kuna vitu vingi tu ambavyo anatengeneza vina ubora. Mfano mzuri ni vitu ambavyo yeye mwenyewe anavitengeneza kwa ajili ya soko la ndani...
 
Na ye huawei je inakuja kama nani mana tujue ni open source itakua ngoja niichimbe zaidi nione kama ya kuitia mkononi mkuu dunia ya bos win mob os kipindi kile ni tofauti na sasa
Alishasema kwamba Os yake itakuwa ni free. So kampuni yyt ya simu inaweza kutumia bila kulipa fees zozote.
 
Ngoja tuone maajabu ya story za mfanyabiashara blackberry sio company kubwa microsoft je mkuu hata msanii anaweza akakwambia ana nyimbo kali alafu ikitoka inafanya vibaya mno nakumbuka mi ni moja wa watu niliekua natumia android ila nikafatilia toleo la lumia matangazo yake dah microsoft os version yake ilinivutia sababu nilikia natumia windows 8 sasa ilipokuja mkononi nadhani unajua kilichotokea
Microsoft na Blackberry Os zao walizifanyia monopolization. Na pia kwa kampuni ambazo ziliamua kutumia Microsoft kwenye simu zao basi walikuwa wanalipia. Sasa kwa mazingira kama hayo ulitegemea nini kiwapate? kama siyo kufa. Huawei hawezi rudia hayo makosa...
 
Kwenye makampuni makubwa duniani apple 2 2018 and 2019 na hizo story nimezifatilia mno sasa ngoja niweke nilichopata sio china tu hata marekani ni hivi iphone ni simu kwa sasa duniani ndo most expesive na oppo na oneplus wamecompare na iphone kutoa samsung na huawei kwa sasa mana nazo gharama iko juu ni zina nafuu ya bei na uwezo inaweza kulingana pengine hata kidg kuwa juu ya iphone lkn bei yake iko poa sasa wanasema kama unaweza kuwa na uwezo kidg ingia huawei mana hata wameifananisha hata muonekano wake na iphone na p20 lite nimetumia mpk hata functionality zake au kama unajiweza tena kdg ingia kwa samsung sasa izo zote ni android wasi wasi wetu ni je bila android tumeona blackberry os alisumbua sana duniani leo amepotea anakuja na android os nw kama nokia
Blackberry alizingua na os yake kwa kuifanya monopoly.

Huawei simu zao ambazo ni gharama ni p series na mate series. Ila wana mid range flagships nyingi sana ambazo zina bei ya kawaida. Kitu ambacho iphone hana.
 
Sasa hii ina mantiki gani? Iphone mauzo yameshuka china na si nje ya china na yameshushwa na Huawei na huawei wanatumia android.
Sasa hapa tunazungumzia OS yao kuifunika android siyo rahisi maana watumiaji wa android wanaitumia kwasababu ya wingi wa apps zake ambazo ni za kimarekani.
Ebu nitajie app moja maarufu ambayo watu wanaipenda saana kama ambayo siyo aya Marekani?
Hiyo Os ya huawei kampuni za kimarekani kama facebook ambayo imamiliki whatsapp, facebook na instagram na kampuni inayomiliki snapchat, kampuni kama google inayomiliki youtube na apps kibao zikiwekewa ban zisisupport hiyo OS bado huawei watashindwa kupenya nje ya china labda waitumie wachina tu huko.
Jiulize na huduma lukuki za wechat mbona wanaoitumia ni wachina tu hata watu weng huku hawaijui? We ushawahi tumia wechat?
Mauzo ya Iphone yameshuka dunia nzima. Na hili ni kutokana na Iphone kupandisha gharama kila kunavoitwa leo.

Ila mauzo yake kwa China hali ndo mbaya zaidi. Yameashushwa sababu ya huawei na baadae ikaja ile apple boycot.
 
Sasa hii ina mantiki gani? Iphone mauzo yameshuka china na si nje ya china na yameshushwa na Huawei na huawei wanatumia android.
Sasa hapa tunazungumzia OS yao kuifunika android siyo rahisi maana watumiaji wa android wanaitumia kwasababu ya wingi wa apps zake ambazo ni za kimarekani.
Ebu nitajie app moja maarufu ambayo watu wanaipenda saana kama ambayo siyo aya Marekani?
Hiyo Os ya huawei kampuni za kimarekani kama facebook ambayo imamiliki whatsapp, facebook na instagram na kampuni inayomiliki snapchat, kampuni kama google inayomiliki youtube na apps kibao zikiwekewa ban zisisupport hiyo OS bado huawei watashindwa kupenya nje ya china labda waitumie wachina tu huko.
Jiulize na huduma lukuki za wechat mbona wanaoitumia ni wachina tu hata watu weng huku hawaijui? We ushawahi tumia wechat?
Mkuu bei ndo inayotawala kila kitu sokoni. Pia ukae ukijua zaidi ya 50% ya simu zinazotengenezwa duniani zinatengenezwa na Chinese companies. Pia hata kwenye market share ukitaka top 10 ya companies za simu, kampuni 6 ni from China.

Hebu fikiria hizo kampuni zote za China zikahamia kwenye new Os. Fine hamtanunua vitu kutoka kwao. Je mtakuwa na jeuri ya kununua vitu kutoka samsung na iphone?
 
Utapata shida ndugu, watu wanajifanya hawakuelewi kwenye point ndogo sana. Inabidi waeleze ni vipi kwa mazingira ya sasa ukatumia simu bila app za mmarekani kama zitapigwa ban kwenye hiyo os? yaani bila youtube, whatsap, facebook, instagram, google service, gmail, gmap, hiyo os kama haitakuwa na hivyo vitu hata kama simu ina ubora gani, kuna kutoboa kweli?
Listen Hii trade war inakoelekea. Bidhaa ambazo siyo za kichina zitakuwa bai juu zaidi ya hapa kama huamini subiri mwezi ujao uone iphone 11 itakuwa sh. ngapi. Wakati bidhaa from China zitakuwa na low cost.

Haya fine. Bidhaa za china hazina hizo app ulizozitaja. Je watu watakuwa na pesa ya kununua iphone na samsung?

Kwanini tecno ameteka soko la africa? obvious bei za simu zake ndo zimefanya ateke soko
 
Mkuu bei ndo inayotawala kila kitu sokoni. Pia ukae ukijua zaidi ya 50% ya simu zinazotengenezwa duniani zinatengenezwa na Chinese companies. Pia hata kwenye market share ukitaka top 10 ya companies za simu, kampuni 6 ni from China.

Hebu fikiria hizo kampuni zote za China zikahamia kwenye new Os. Fine hamtanunua vitu kutoka kwao. Je mtakuwa na jeuri ya kununua vitu kutoka samsung na iphone?
Tatizo siyo bei tatizo ni huduma. Watu wakienda nunua simu wanachouliza ina support facebook, ina support whatsapp, ina support insta ina youtube
Hiyo OS yao bila hivyo vitu itafail.
Kuna simu nyingi toka ulaya na Marekani bado zina android ila hazina majina makubwa na ni cheap zitaanza kuwa maarufu.
Na samsung anajua hili umeona ameanza toa mid range affordable phone kushindana na chinese compabies mfano hizi samaung A10
Mchina ana copy za huduma almost zote za kimarekani lakini ni nani nje yao anatumua weibo mbadara wa youtube, wechat mbadara wa whatsapp na ina huduma kibao humo kama alipay na huduma nyiingi sana?
OS siyo tatizo tatizo ni developers wa kutengeneza apps pendwa zinazo support hiyo OS na apps nyingu pendwa ni za Wamarekani
 
Microsoft na Blackberry Os zao walizifanyia monopolization. Na pia kwa kampuni ambazo ziliamua kutumia Microsoft kwenye simu zao basi walikuwa wanalipia. Sasa kwa mazingira kama hayo ulitegemea nini kiwapate? kama siyo kufa. Huawei hawezi rudia hayo makosa...
Kilicho ziua hizi OS ni developers wengu kuto zisupport na wala siyo kitu kingine tena developers wenyewe wengi ni Wamarekani.
Watu walikuwa tayari kulipa ela nyingi kudesign na kuweka apps zao apple store na si blackberry world.
Os hata iwe nzuri vipi bila developers kuisupport siyo chochote na apps nyingi pendwa ni za wamarekani ambao wakipigwa ban kuisupport hii new os bas kupenya ni ngumu.
Tatizo siyo simu kuwa cheap mbona blackberry tablet yao ya mwisho iliyokuwa ima run blackberry OS waliishusha bei ikawa chini ya laki 3 lakini hakuna aliyeinunua watu waliprefer ipad na tablets za android amnazo zilikuwa ghali kwasababu lilikuwa kama kopo utalinunua lakini hupati apps unazohitaji maana developers waliitosa Blackberry Os
 
You sound just like em Americans...

Take my words, US anamuhofia Mchina na Mchina hana hofu yoyote juu ya US...

Internal affairs za HongKong hazina effect yoyote kwa mainland, hao ni wachina wanaojitawala wenyewe kama walivyo tu wataiwan...

Sababu tu kuu ya protests zinazoendelea sasa hivi HK unaweza pata picha kuwa wao ni tawala tofauti na mainland...

Katika vita hii China itamkalia pabaya tuu. Marekani ndio nchi yenye uchumi mkubwa Dunia na pia rare earth metals hata Marekani anazo sema China alikuwa anauza Kwa bei ndogo ndio maana Marekani ikaacha kuchimba na sahizi Mchina ana wakati mgumu kwasababu Hongkong pale maandamano Yanaendelea na Kwahiyo na Muingereza kamkalia pabaya suala China Kwa internal interference. akikosea treatment Kwa Hongkong ndio kwisha yake . Tianam square, Uighur Muslims na sahivi Hongkong
 
Listen Hii trade war inakoelekea. Bidhaa ambazo siyo za kichina zitakuwa bai juu zaidi ya hapa kama huamini subiri mwezi ujao uone iphone 11 itakuwa sh. ngapi. Wakati bidhaa from China zitakuwa na low cost.

Haya fine. Bidhaa za china hazina hizo app ulizozitaja. Je watu watakuwa na pesa ya kununua iphone na samsung?

Kwanini tecno ameteka soko la africa? obvious bei za simu zake ndo zimefanya ateke soko
Tecno kateka soko la afrika kwasababu ni cheap na anatumia huduma ya android yenye apps pendwa za kimarekani. Aondoe hizo apps abaki kuwa cheap uone kama kuna atakaye nunua.
Mbadara wa hizi tecno wapo wahindi wana simu cheap sana za android zinaweza kuteka soko iwapo watapigwa ban kutumia apps za kimarekani.
 
Ngoja tuone sasa hilo li mbuzi Trump litafanyaje. Mchina hajawahi kushindwa. Chezea mchina wewe.
 
Nchi ya pili kiuchumi duniani itashindwaje na Trump? Kwanza hii ni mipango ya KISHETANI ya Trump mwenyewe. Akiondoka madarakani, Marekani inarejea kwenye mstari wake wa mahusiano mema na nchi nyingine.
Uwezo wa China kupambana na US kwa muda mrefu ni mdogo. Wakienda hivi say kwa miaka mitano, China will collapse.
Sasa nani atanunua simu yenye OS ya mchina kwa mfano?
 
Alishasema kwamba Os yake itakuwa ni free. So kampuni yyt ya simu inaweza kutumia bila kulipa fees zozote.

Usiogope na nalugha ya buashara kuwa open source mana ni bure kuna jambo la leseni baadae izo promotion kama amesema ivo bure ni hili kuitangaza duniani
 
Back
Top Bottom