Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

nimesoma na sijapinga, labda baadhi ya watu walikuwa hawajui ila harmony os kuwa based na android toka mwaka 2019 ilikuwa inajulikana ni android based ila wao wameiboresha zaidi kwenye IOT pile lite os ilitengenezwa mahusui kwa ajili ya micro devices na vitu vingine upande wa iot hivyo ban ya usa ndo iliwafanya huawei kutaka kuifanya kuwa os moja kwa moja kilichosumbua ni archtecture yake ndo ilikuwa shida. ikiwalizimu kurudi aosp kufanya fork pia wakakombaini na os yao ya lite
Hizi fix na propaganda tu, Huawei hawajasema yote haya mpaka wadakwe? Na sidhani hata kama wame admit kuna uwezekano unawatetea tu.

Operating system sio kitu ambacho kinatengenezwa miezi ama mwaka, ni kitu kinachukua miaka, angalia Google Fuchsia ipo developed sijui mwaka wa ngapi huu. Wao ghafla ghafla tu wamelipua tayari wana os, badala ya kusema ukweli wanataka sifa na kuongea uongo.
 
Hizi fix na propaganda tu, Huawei hawajasema yote haya mpaka wadakwe? Na sidhani hata kama wame admit kuna uwezekano unawatetea tu.

Operating system sio kitu ambacho kinatengenezwa miezi ama mwaka, ni kitu kinachukua miaka, angalia Google Fuchsia ipo developed sijui mwaka wa ngapi huu. Wao ghafla ghafla tu wamelipua tayari wana os, badala ya kusema ukweli wanataka sifa na kuongea uongo.
suala la harmony kuwa ni android based linajulikana, kusema kuwa wemetengeneza from scratch ni kwa sabau ya kutumia lite os hiyo wameitengeneza from the scratch na walikuwa wanaitengeneza kwa ajili ya iot
 
suala la harmony kuwa ni android based linajulikana, kusema kuwa wemetengeneza from scratch ni kwa sabau ya kutumia lite os hiyo wameitengeneza from the scratch na walikuwa wanaitengeneza kwa ajili ya iot
Lete source mkuu kwamba Lili kuwa linajulikana
 
suala la harmony kuwa ni android based linajulikana, kusema kuwa wemetengeneza from scratch ni kwa sabau ya kutumia lite os hiyo wameitengeneza from the scratch na walikuwa wanaitengeneza kwa ajili ya iot


Tazama hii video mkuu jamaa kajaribu kueleza upotoshaji wa huawei. Kwanza devices zake zinatumia os tatu tofauti ila yeye anaongopa zote ni harmony os. Saa ina os yake tv ina os yake na simu zina os nyingine ambayo kiukweli ni android iliyoboresha boresha.
Hebu itazame mkuu.
Ila huawei wako vizuri
 
Pia makampuni yao karibia yote utayaona yanatumia harmony Os kwa pale china na hata baadaye internationally. Hiyo itafanya developers kuvutiwa.
Na lukunymlisha na wingi wao ndo kabisa na ile slogan yao made in china lazima tu iwe moto moto kwa soko ,wachina wakiamoa kushikana kufanya hivyo kweli kweli kwa ushirikiano wa hali ya juu
 
Kivipi mkuu? Ni kwamba hawana jipya au?
Si kwamba hawana jipya, utaweza fanya kila kitu unacho fanya kwenye Android, sema hawajatengeneza wao Bali wame copy hio android.

Chukulia mfano halisi kwenye maisha, mtu anatangaza anatengeneza keki, na keki zake ni tofauti na wengine, wewe utoe order kwake, then yeye aKanunue keki Bakhresa na kukuletea ajidai ni keki zake.
 
Si kwamba hawana jipya, utaweza fanya kila kitu unacho fanya kwenye Android, sema hawajatengeneza wao Bali wame copy hio android.

Chukulia mfano halisi kwenye maisha, mtu anatangaza anatengeneza keki, na keki zake ni tofauti na wengine, wewe utoe order kwake, then yeye aKanunue keki Bakhresa na kukuletea ajidai ni keki zake.
Okay hapo nimekupata, wao wameibadilisha jina tu ila kila kitu ni vile vile🤣🤣
 
Back
Top Bottom