Huawei ideos tigo

Milindi

JF-Expert Member
Mar 3, 2009
1,462
745
Ndugu zangu nimekapenda haka ka simu kuna mwenye uzoefu nako ili nijue kama kananifaa nipate kukanunua halafu vilevile kwa hapa tz ni tigo tu! wanaouza au naweza pata ambayo sio network locked ili nipate kutumia line tofauti according to signal strength.
 
Naitumia hii kwa kama miezi minne hivi. Being made in partnership with Google, hii device ipo vizuri sana kwenye on-the-go communication needs. In ashida moja kubwa sana nayo ni betri yake (unless wameshafanya mabadiliko), ina-drain haraka sana na bahati mbaya kupata replacement si rahisi, camera yake pia ni hovyo.

Ina uwezo wa multitasking, ina-run Android 2.2 kwa hiyo unaweza kupata apps kibao kutoka 'android market'.

Ina apps ambazo huwa zina-run all the time in the background (mf. email, kama ukiweka FB, twitter an nyingine zinazofanan na hizo) kwa hiyo utaingia gharama ya internet -- ila usihofu kuna app kwenye market ambayo ina uwezo wa disable conn.

Android devices nyingi ikiwemo hii haina file manager, lazima uitafute. Pia upande wa BT -- unaweza kupokea mafaili ya kila aina ila kutuma ni kimbembe napo unahitaji app ya kufanya hivyo.

Anyways tembelea gsmarena.com kuna mengi zaidi
 
mkuu kasimu ninakatumia... So far shida pekee ni battery... Me inakaa kwa muda wa masaa kama 24... Lakini nakuwa nasikiliza music na kuwa online most of the time... Kwa price yake... na features zilizopo me silalamiki... Itz a good buy... If you really need one naweza kukuagizia... price ni 200000 tu!..
I give it 4.3stars out of 5!
 
kwa maelezo yenu inaonekana ipo poa, natumaini IDEOS ni brand name kama nokia ila ni vizuri kuweka na model yake ili tu-google kwa ufasaha.
 
Thanks all,nashukuru wote na nimeanza kukatumia,anayejua battery zinapatikana wapi Ili niwe na bat mbili au tatu.
 
Mimi nilinunua Safaricom kenya tatizo kubwa la hii simu ni battery inabidi utembee na charger wakati wote ,pia kamera yake ni bomu sana ingawa ni 3MP,kingine kwenye kucheza video kazi ,kuna youtube lakini kudownload na kuplay kuna shida.
Kingine kwenye kutype ni tatizo sababu ki screen ni kidogo inabidi kuwa makini sana wakati wa kutype kwani utakuta kidole kin cover herufi 4
 
Thanks all,nashukuru wote na nimeanza kukatumia,anayejua battery zinapatikana wapi Ili niwe na bat mbili au tatu.
Kwa hapa bongo sijui au check hao waliokuuzia kama una jamaa Nairobi hapo wanauza kwenye maduka ya Safaricom,ila bei nimesahahu
 
Msaada battery nitapata wapi jamani TIGO tunaomba msaada WA kupata battery
 
Back
Top Bottom