Huajazaliwa Arumeru unataka uongoze vipi wewe? Kafanye kilimo kwanza kule.............

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,338
Jamani nilikua najaribu kupitia profile za hawa wagombea kuna huyu yeye kazaliwa kusini kuleeeeeeee.......kasoma kenya na uingereza leo anarudi nyumbani kudai anataka aongoze...sasa huyuuuuuuu cha kwanza ataiba mpaka arudishe pesa aliyosomea,pili hajui Arumeru huyu atatusaidiaje jamani....jamani vitu vingine watanzania haviitaji tue na phd ili kujua kipi kinafaa kipi hakifai.....tunataka mtu anaejua watanzania,akatusikiliza na kutuelewa halafu wewe unatoboa masikio iweje???????? huo utamaduni hauko Arumeru njoo uimbe bongo flavour huku....yaaaani hapa nimejaa upepo natamani ku bust...............
 
  • Thanks
Reactions: GIB
Huyu Sioi si niya yake ila ni mafisadi tu ndio wameamua kufanya hivi ilivyo.

Lakini safari hii uchaguzi huu itawatowa udenda hawa mafisadi.

Wanafikiri hii ni karne ya 11 bado.
 
Jamani nilikua najaribu kupitia profile za hawa wagombea
Ulikuwa unajaribu, ebu kawe serious af uje tena kuandika ulichoandika.
kuna huyu yeye kazaliwa kusini kuleeeeeeee.......kasoma kenya na uingereza leo anarudi nyumbani kudai anataka aongoze...sasa huyuuuuuuu cha kwanza ataiba mpaka arudishe pesa aliyosomea,
Unahukika gani atakuja kuiba? Umesema arudishe pesa aliyosomea, tuambia alikuwa anajilipia mwenyewe au alikuwa analipiwa na mzazi wake?
pili hajui Arumeru huyu atatusaidiaje jamani....jamani vitu vingine watanzania haviitaji tue na phd ili kujua kipi kinafaa kipi hakifai.....tunataka mtu anaejua watanzania,akatusikiliza na kutuelewa
Kwani kujua matatizo ya jimbo inahitaji kuchukua muda gani? Nyerere aliwahi kuwa mbunge wa Morogoro wakati hakuwa mkazi wa huko.
halafu wewe unatoboa masikio iweje???????? huo utamaduni hauko Arumeru[/QUOTE said:
Wamasai utamaduni wa kutoboa masikio wameutolea wapi?
njoo uimbe bongo flavour huku....yaaaani hapa nimejaa upepo natamani ku bust...............
We bust tu, hizi ndo siasa maji taka unazotaka kuleta.
 
tatizo kuchakachua na tume yenyewe bado nia ya chama kimoja wkt tuko ktk mfumo wa vyama vingi
bila kuvunjwa tume ikateuliwa tume mpya inayokuwa na uwakilishi sawa wa vyama bado tusahau demokrrasia tanzania
tutazidi kuibiwa
upinzani unganeni kataeni tume hiyo
 
Ulikuwa unajaribu, ebu kawe serious af uje tena kuandika ulichoandika.

Haya nshasoma na msg za mpango wa kugawa pesa alizokua anatuma yule jamaa sijui shemeji yake au kaoa naniii naniii wa kwao nimeziona zooooooooote au nizianike hapa......


Unahukika gani atakuja kuiba? Umesema arudishe pesa aliyosomea, tuambia alikuwa anajilipia mwenyewe au alikuwa analipiwa na mzazi wake? [/QUOTE]

Walioiba na wanaoendelea kuiba sasa hivi walijilipia wenyewe? Hebu waulize wizara ya Afya huko,na ile iliyokua inaitwa Richmond na zingine unazojua wewe......

Kwani kujua matatizo ya jimbo inahitaji kuchukua muda gani? Nyerere aliwahi kuwa mbunge wa Morogoro wakati hakuwa mkazi wa huko.

Hizi sio enzi za nyerere mambo yamebadilika .......uko sawa sawa wewe.........

Wamasai utamaduni wa kutoboa masikio wameutolea wapi?
We bust tu, hizi ndo siasa maji taka unazotaka kuleta.

Shwaini kweli huyu analeta shudu hapa.....alietoga masikio kimasai ni tofauti na hawa masharobaro hii haihitaji nikuwekee picha hapa ili uone tofauti we wa wapi......hata wanavyosuka wamasai ni tofauti na atakavyosuka huyu jamaa yako baada ya kumpa ubunge.........

Sema neno tunamwaga vyoteeeeeee
 
Ulikuwa unajaribu, ebu kawe serious af uje tena kuandika ulichoandika.

Unahukika gani atakuja kuiba? Umesema arudishe pesa aliyosomea, tuambia alikuwa anajilipia mwenyewe au alikuwa analipiwa na mzazi wake?
Kwani kujua matatizo ya jimbo inahitaji kuchukua muda gani? Nyerere aliwahi kuwa mbunge wa Morogoro wakati hakuwa mkazi wa huko.
Wamasai utamaduni wa kutoboa masikio wameutolea wapi?
We bust tu, hizi ndo siasa maji taka unazotaka kuleta.

inaonesha kuropoka na kujifanya unanukuu vifungu na maelezo ya mwenzio ni jadi yako.Nenda kalale na ma c doa.
 
Mambo mengine kwa kweli ni ajabu hata kwa chama chenyewe kusimamisha mgombea kama huyo! Kwanza elimu ni nyenzo muhimu katika kuifahamu jamii unayoishi na misingi yake, Na hapa ni lazima usome katika elimu ya jamii husika (Tanzania) ambayo imejengwa katika misingi ya kitanzania kwa malengo ya watanzania. Elimu ya Uingereza imejengwa katika misingi ya Kiingereza na kwa malengo ya waingereza. Huwezi soma elimu ya jamii tofauti halafu utumie elimu hiyo kuongoza jamii nyingine, hapa wana wa Arumeru shtukeni!
 
Back
Top Bottom