mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,338
Jamani nilikua najaribu kupitia profile za hawa wagombea kuna huyu yeye kazaliwa kusini kuleeeeeeee.......kasoma kenya na uingereza leo anarudi nyumbani kudai anataka aongoze...sasa huyuuuuuuu cha kwanza ataiba mpaka arudishe pesa aliyosomea,pili hajui Arumeru huyu atatusaidiaje jamani....jamani vitu vingine watanzania haviitaji tue na phd ili kujua kipi kinafaa kipi hakifai.....tunataka mtu anaejua watanzania,akatusikiliza na kutuelewa halafu wewe unatoboa masikio iweje???????? huo utamaduni hauko Arumeru njoo uimbe bongo flavour huku....yaaaani hapa nimejaa upepo natamani ku bust...............