joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Kukopa harusi kulipa ni matanga, muda wa kulipa madeni umefika na dawa ya deni ni kulipa.
Kukopa harusi kulipa ni matanga, muda wa kulipa madeni umefika na dawa ya deni ni kulipa.
Jamaal wameshazoea kusamehewa madeni na kila mtu. Underage childrenhivi tanzagiza inayajua maneno haya??
View attachment 947823
View attachment 947827
View attachment 947829
View attachment 947837
View attachment 947843
Ndio faida za LDC, we don't care how y'all see us, whilst we clearing our debts.Jamaal wameshazoea kusamehewa madeni na kila mtu. Underage children
WSF: Italy signs Kenya's debt cancellation | Association for Progressive Communicationshivi tanzagiza inayajua maneno haya??
View attachment 947823
View attachment 947827
View attachment 947829
View attachment 947837
View attachment 947843
WSF: Italy signs Kenya's debt cancellation | Association for Progressive CommunicationsJamaal wameshazoea kusamehewa madeni na kila mtu. Underage children
Hahahaha, ninyi ni masikini hadi mnatia aibu, mnalazimisha kufutiwa madeni hadi mnaandamana na kutunga slogans.Lol.maskini hohehahe.watasamehewa deni Mara ya tatu sasa.
Why Kenya missed out on debt reliefLol. Utilise your time well by digging pit latrines. Tz ina uhaba wa hypo.
WSF: Italy signs Kenya's debt cancellation | Association for Progressive CommunicationsKusamehewa ndio wana ringa hahahahahahahaha LDC!!!!!!!! nilifikiria tractor alisema pesa ipo?????? kumbe hakuna hahahahahahaha
WSF: Italy signs Kenya's debt cancellation | Association for Progressive Communications
Failed state and very poor country
Hahahahaha, kelele za kwamba Kenya haijasamehewa madeni zimekwisha?
Hahaha, unaleta habari ya dili iliyofanyika 2006 ! Wakati Kenya ilikua Low income Country! Tuliingia Lower Middle income 2014 ... Hakuna kusamehewa madeni tena ukishsingia middle income..... (Tena ukiañgalia Hilo deni la $46m tulilosamehewa na Italy ilikua ni debt conversion, walitusamehe ili tuongee Kwa meza kuhusu eviction, hawakutusamehe kwasababu ya uwezo wetu wa kiunchumi... Unlike Tz mnasamehewa kwasababu mnachukua mda mrefu au kushindwa kulipwa..)Hahahaha, ninyi ni masikini hadi mnatia aibu, mnalazimisha kufutiwa madeni hadi mnaandamana na kutunga slogans.
1)Dept is poverty
2)Dept is slavery
Kenya: Groups call for debt cancellation | Pambazuka News
Kumbe mnajua nini ni slaves of poverty because of debts?