Naomba niende kwenye msingi wenyewe bila maelezo mengi... Kuhusu yaliyojiri kwenye mdahalo wa jana
Baada ya Mh. Hamad Rashid kujibiwa hoja zake kwa kina na Mh. Freeman mbowe ampapo iliwekwa bayana kabisa kwamba kitendo walichofanya chadema ni Protest which is the right and freedom of expression na pia ilifanyika mbele ya watanzania wote na mkuu wao wa nchi wakiwemo wawakilishi wa kimataifa, jaji mkuu... na mwanasheria mkuu... Mh. Mbowe pia alifafanua kuwa hakuna kifungu chochote cha sheria za nchi zinazomtaka mtu kutambua matokeo ya uchaguzi
Haya yalitokana na madai ya Mh. Hamad Rashid kudai kuwa hawawezi kuungana na chama kisichomtambua rais wa nchi..... na chama kisichokua na sera ya serikali ya umoja wa kitaifa
ninajiuliza.... mwenyewe
Baada ya Mh. Hamad Rashid kujibiwa hoja zake kwa kina na Mh. Freeman mbowe ampapo iliwekwa bayana kabisa kwamba kitendo walichofanya chadema ni Protest which is the right and freedom of expression na pia ilifanyika mbele ya watanzania wote na mkuu wao wa nchi wakiwemo wawakilishi wa kimataifa, jaji mkuu... na mwanasheria mkuu... Mh. Mbowe pia alifafanua kuwa hakuna kifungu chochote cha sheria za nchi zinazomtaka mtu kutambua matokeo ya uchaguzi
Haya yalitokana na madai ya Mh. Hamad Rashid kudai kuwa hawawezi kuungana na chama kisichomtambua rais wa nchi..... na chama kisichokua na sera ya serikali ya umoja wa kitaifa
ninajiuliza.... mwenyewe
- je sera ya chama kuhusu serikali ya umoja wa kitaifa inaweza kutekelezeka bila kubadili katiba ambayo hairuhusu hili
- Mh. RH kwa akili yake ya kawaida anajifanyisha kwamba hakuelewa maana ya kitu CHADEMA walichofanya
- CUF kuna double standards.... katibu wao mkuu ni Makamu wa kwanza wa rais visiwani.... hivyo ni part and parcel of the isles government.... je wabunge wa CUF kunauwezekano wakatumwa hoja za msingi zilizo tengenezwa kwa pamoja na CUF na CCM hivyo kuugawa upinzani..... hauoni CUF wapo mguu nje mguu ndani
- je.. serikali ya umoja wa kitaifa mara nyingi inatokea wakati gani.... au basi uelewa wa HR unahitilafu..... je serikali mbadala sio serikali ya mseto?