Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kawaida zinakuwaka na 6400 RPM hiviii. Sasa hizi kuwa na 10000 Rpm ina maana gani???
Kwa hiyo hapo ndo ulipoongezea bei au sio???
Kwa hiyo hapo ndo ulipoongezea bei au sio???
Sawa bossHiyo bei ya kawaida sana kulinganisha na hizo hdd .. Value yake na bei vitu viwili tofauti , nimezi discount sana yan sana .. search hiyo model (angalia Picha) kwenye google utaelewa nachomaanisha. Hizi ni genuine toka HP
Sent from my iPhone using JamiiForums