nna hp probook ,ina tatizo la kua kama inzima mwanga na kuwaka , yaani inawenge kwnye mwanga ..inakonyezakonyeza kila mara , nikafanya kama kuigonga inatulia kwa mda then inaanza tena .. nn litakua tatizo, ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.