k_u_l_i Senior Member Jan 26, 2010 122 2 Feb 21, 2010 #1 Kijana tizama huku - yeye anatizama kule. Watoto wa sikuhizi kweli wabishi -tufanyeje? ¬K
Yegomasika JF-Expert Member Mar 21, 2009 13,164 61,249 Feb 21, 2010 #2 k_u_l_i said: Kijana tizama huku - yeye anatizama kule. Watoto wa sikuhizi kweli wabishi -tufanyeje? ¬K Click to expand... Waswahili wanakwambia biashara asubuhi yakhe, jioni kufunga hesabu tu!.
k_u_l_i said: Kijana tizama huku - yeye anatizama kule. Watoto wa sikuhizi kweli wabishi -tufanyeje? ¬K Click to expand... Waswahili wanakwambia biashara asubuhi yakhe, jioni kufunga hesabu tu!.
k_u_l_i Senior Member Jan 26, 2010 122 2 Feb 22, 2010 Thread starter #3 Yegomasika said: Waswahili wanakwambia biashara asubuhi yakhe, jioni kufunga hesabu tu!. Click to expand... Haa! sasa swali linakuja asubuhi ya saa ngapi? Wengine wanaamini saa kumi ni alfajiri wengine wanasema bado ni usiku. ¬K
Yegomasika said: Waswahili wanakwambia biashara asubuhi yakhe, jioni kufunga hesabu tu!. Click to expand... Haa! sasa swali linakuja asubuhi ya saa ngapi? Wengine wanaamini saa kumi ni alfajiri wengine wanasema bado ni usiku. ¬K