Shosti usinikasirikie bure kwa kufichua siri jemeni!
Tuko pamoja PJ, samahani sana kwa kukumbusha machungu, Nakupa pole sana kwa msiba wa mzee wetu.
[/QUOTE]
Nililazimika kukubaliana na hali, maana wanasema kufa ni mara moja tu...no second chance!..huh!
nop,sema mmezaliwa sita wote majike maana nawewe si unaliwa vilevile??Yaap Mchajikobe..ninawajua sana, kwetu sisi tumezaliwa 6, watano majike, dume ndio mimi peke yangu
mwambie ajue mamii.mwanamke kujiremba.Mi lazima nikumaindi kwa kweli kwa sababu hata Mungu ameturuhusu tujirembe wewe Bwabwa wewe hutaki tujirembe sasa mimi nisipojiremba unadhani nitapendwa?????