donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
ndio wakuu. nina dv cam yangu ambayo ina megapixels za kutosha na zooming safi tu. ningependa kufahamu basics za kushoot music video na latest programs zinazotumika. mini nina ka basic knowledge ka pinnacle studio. kwaio ningependa kufaham utaalam huu niweze kumake my own videos. thanks in advance wakuu