Kwa yoyote anaejua namna ya kucrack document ya word Tafadhali naombeni unisaidie kuna document ya word niliiwekea password na nimeisahau na ninahitaji niitumie document mwenye kuweza kunisaidia anisaidie jamani
Jamani, Naombeni msaada namna ya kufungua document ya word yenye password.
password kaweka nani...?