How To Become A Vampire- By Rakims

he bite but not feed

Umejuaje,,...? Je kama Alinyonya Damu?!
Halafu umesema huwa Hawapend kujionesha/kuonekana..! Sasa kama angeFeed,..Mass yote ile c kungekuwa na WWV ( World War Vampire).

Conclusion:Vitu Hvyo Bado Vipo Kwenye Fikra Za Baadh ya Wa2/Watafiti. Bt Physically they Do not Exist! Jamani tuna Vyombo vikubwa vya Habari Lkn ha2jawah skia Sehem flan Ma-Vampire Wamekuweje/wamefanya nn?!Vngnevyo ni kuuza Habari habazo Hazina Evidence. Hakuna Kitu Kama Hicho.

Matt@Mwanza.
 
Rakims
Ulishaambiwa uache kufuga majini lakini hutaki kuacha....ninalituma JINA LA YESU KRISTO liipige na kuangamiza roho zote chafu zilizo ndani yako na likukomboe toka kwenye mikono ya lucifer popote pale ulipo.
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom