Spoken with tongue in cheek?Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
P
Wakati wao umepita. Captain Komba(R.I.P) aliwatungia nyimbo.Mnapomsifu mnunua ndege, wasifuni na waliojenga viwanja vya ndege.
Maana bila wao tungekosa pa kutulia
Tungekosa pia pa kuzi-parkMnapomsifu mnunua ndege, wasifuni na waliojenga viwanja vya ndege.
Maana bila wao tungekosa pa kutulia
Mihula mwisho ni miwili ile ile, ila for the sake of national development, we can give him enough time as long as it takes mpaka akamilishe miradi yake yote.Mmejipangia kubakia miaka mingapi madarakani?
Maana kwa mujibu wa katiba yetu ni miula miwili tu.
QUOTE="Danny Jully, post: 33271510, member: 160061"]Mmeamua wewe na nani Mkuu
Kwanza soma nilichoandika, uelewe, ndiyo ujibu
Kun uzi upinzani mliuanzisha kitambo mkiishangilia rwanda kununua ndege na mkajiuliza nchi kubwa kaa tz tunashindwa wapi na nchi ndogo. Leo kibao kimegeuzwa.
Mlipanga na nani, sisi hatuwezi kushiriki kupanga ujinga wa kununua ndege huku watu wanakunywa matope, nani ashiriki dhambi hiyo.Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
PJe, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...www.jamiiforums.com
You are innumerate.Sisomi tena
Kama sijaelewa kosa lako kushindwa kufikisha ujumbe.
Until then acheni siasa mavi
kulipaswa kuwa na uwiano, maendeleo ya watu yatengeneze uhitaji wa vitu.Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
PJe, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...www.jamiiforums.com
Schupid articulation!Huwezi endeleea bila kuwa na kitu cha kuingiza pesa za kigeni ndani. Ndege ni moja ya biashara nzuri sana ya export inayokuingizia pesa ndani na time to market is very short.
Biashara zinazozungurushwa ndani mnazotaka ndo zitawatia watu umasikini zaidi.
Ukitaka kufahamu hilo, nenda kijijini kwenu kawape milion 100 uwafungie wafanye biashara wao kwa wao, wasitoke nje, rudi baada ya miaka 5 utakuta wamekuwa masikini zaidi, na hizo milion 100 zimepugua zaidi maana zingine zimechanika na zingine zimepotea.
Mkumbuke biashara inayofanyika humo ndani bila export hiyo si biashara bali ni service. Hii service itaenda kwa pyramid scheme na mwisho kuanguka.
Magufuli na serikali yake kununua ndege is the right approach.
Theory za Economic Development Vs Economic Growth Vs Community Economy Development mpaka sasa zina mijadala mingi na haitaisha duniani.kulipaswa kuwa na uwiano, maendeleo ya watu yatengeneze uhitaji wa vitu.
Wakati idadi kubwa ya watanzania watakuwa wamepoteza maisha vifo ambavyo vingeweza kuzuilika?Pengine wataofuata wataweka priority kwenye sekta nyingine
Watoto wa wachawi huwa haiwachukui muda mrefu kujua namna za kupaa na ungo.Naona Mzee WA MIGA na timu yake wamekuja kivingine kama watabiri au waganga wa kienyeji.
Ni kweli kupanga ni kuchagua, LAKINI JE, KWENYE KUCHAGUA HAKUNA KUKOSEA?Kupanga ni kuchagua, tumeamua kuchagua kufanya maendeleo ya vitu kwanza, kama ndege, miundombinu, SGR, Stigler, flyover, na kujenga Tanzania ya Viwanda. Miradi hii mikubwa ikikamilika, ndipo tutageukia maendeleo ya watu.
PJe, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...www.jamiiforums.com