How Tanzania cooks its economic figures and blocks media and experts from reporting

IMF najua maswala ambayo hawakuyapenda kwa maamuzi ya magufuli ni Acacia. stigliers George na mengine ndio maana wametumia hiyo fimbo
Tubaki na uchumi wa $61bn lakin watu wakipata huduma muhimu zote na ajira zikiongezeka ni bora kuliko $400bn ambayo wananufaika wachache wengine wakibaki mafukara
 
Kwenye hili Wakenya endeleeni kitucheka kwa kweli tuna mtu mmoja anajiita mpz wa Mungu daaa we acha tu.
 
No you don't. We post links here everyday and your countrymen dismiss them everyday.
Also, IMF is the most credible authority, and here we are having an argument about their numbers.

I don't think so. We are the one who are citing the sources for everything we put before you guys.
 
I wouldn't be suprised that their GDP is $40b.
Wow ,i've always wondered why Tz never could catch up with Kenyan GDP or annual budget figures with their annual 7% growth for decades. Kumbe ni ma Chef sana wa fake data kule kwao ministry of finance ?
 
Na pia nimeona Bloomberg LP wametoa ripoti kwamba economic growth ya Tz itakuwa tu asilimia 4% mwaka huu. Holy cow these Tzedians are like Kijiketile with voodoo economics.
 
Life of a sample of normal Kenyans is more advanced than Tanzanians. Taking into account a normal bell curve that there are people at the bottom suffering on both but Kenyans are less in this section.
So bringing up an example of a person starving in a country that is more than half arid does not mean everyone in Kenya is suffering. This logic is obvious through the statistics but Tz wants us to believe without any notable export or production activity that is one of the best in the world, that they are close to Kenya. Wapi tea au airline au flowers au textiles au tourism au horticulture with all that good land kuonyesha hii economy ya Tz inafanya mambo?
Nimeishi Dar na nimeona tofauti ya wenyeji, Nairobi residents wanaoneka kua na pesa zaidi, kwa magari, vile nyumbani imewekwa electronics, spending in mall, dressing e t c
 
Life of a sample of normal Kenyans is more advanced than Tanzanians. Taking into account a normal bell curve that there are people at the bottom suffering on both but Kenyans are less in this section.
So bringing up an example of a person starving in a country that is more than half arid does not mean everyone in Kenya is suffering. This logic is obvious through the statistics but Tz wants us to believe without any notable export or production activity that is one of the best in the world, that they are close to Kenya. Wapi tea au airline au flowers au textiles au tourism au horticulture with all that good land kuonyesha hii economy ya Tz inafanya mambo?
Nimeishi Dar na nimeona tofauti ya wenyeji, Nairobi residents wanaoneka kua na pesa zaidi, kwa magari, vile nyumbani imewekwa electronics, spending in mall, dressing e t c
Haha ati umeishi Dar, jipe break na ujinga
 
Back
Top Bottom