MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,529
- 47,777
Ebwana ni mtandao gani hapa Tanzania unatoa 10GB kwa TSh 15,000/- ?
Wewe nawe unaishi pori gani hulijui hilo. Hivi Watanzania tunaojadili nao mada huwa wa wapi maana hata nchi yao hawaifahamu, au mtakua mnaishi mitaa ya mabanda hamna habari na matukio ya nchi.