Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Jamani wakubwa mimi nina swali. Nimeondoka home zaidi ya miaka 10. honest sijawai rudi, sema nafuatilia mambo yote ya opportunity online.
Nina swali mmoja, Jee Dar kuna ooportunity katika maswala ya finance. vitu kama Capital Market analyst, treasure analyst, equity analyst, fixed income security analyst. Kingine jee DSE index wanakuwaga na kazi?
Jee swala la kipato linakuwaje kwa mtu mwenye BBA finance na MBA Finance.
Jee kuna investment groups ambazo zina allocate assets International? Na kama zipo kuna mtu mwenye info zao, yaani group zinazo wasaidia investors kuchannel fedha zao kwenye international index, kama Nikkei, NYSE, LSE au JSE.
Thanks..
Nina swali mmoja, Jee Dar kuna ooportunity katika maswala ya finance. vitu kama Capital Market analyst, treasure analyst, equity analyst, fixed income security analyst. Kingine jee DSE index wanakuwaga na kazi?
Jee swala la kipato linakuwaje kwa mtu mwenye BBA finance na MBA Finance.
Jee kuna investment groups ambazo zina allocate assets International? Na kama zipo kuna mtu mwenye info zao, yaani group zinazo wasaidia investors kuchannel fedha zao kwenye international index, kama Nikkei, NYSE, LSE au JSE.
Thanks..