How do I start this bussiness???

vanilla

JF-Expert Member
Apr 19, 2012
448
356
hello members, as you can notice i am new in this forum. going through different posts here i have seen how you posses great potentials and how you use it to assist one another. so with all the respects naomba nililete wazo langu kwenu, zaidi sana ni maswali tu kutokana na interest niliyonayo. mimi ni graduate but as we all know kwamba ajira ni tatizo sana kwa sasa so nimekuwa nawaza what to do ili nijipatie kipato. interest yangu imeangukia kwenye utengenezaji wa kadi za mialiko especially ya harusi. nimejaribu kugoogle some info about it but nimeona nililete huku pia.

-je ninahitaji mtaji kiasi gani kuanzisha biashara hii?
-vifaa vipi ni muhimu sana katika biashara hii?
-je kuna course yoyote ambayo inaelemisha kuhusu hili ama my creativity is enough?
-what kind of softwares do i need ili kutengeneza kadi zenye quality nzuri?


please anyone with more info and details on this i will so much appreciate your contribution as i am interested to do this and i am very creative maana niliwahi kutengeneza kadi back then just for fun but now i am thinking of making this proffessional.

thank you in advance!!
 
Hongera kwa kutafuta njia mbadala vs. kuajiriwa. Sina utaalamu wa hiyo biashara lakini kwa ujumla ukitaka kujifunza jinsi ya kuiingia biashara ni vyema kuzungumza na walioko kwenye hiyo biashara tayari. Wengi ukiwaambia unataka kufanya wanachofanya wao watakupotezea... lakini ukijifanya unahitaji hiyo huduma, unaweza kuonyeshwa sample, ukapewa bei kutegemea na kadi ilivyotengenezwa, ukauliza turn around time ili kujua kama wanachapa wenyewe au wana-outsource. Ukizunguza sehemu 4-6 bila shaka utapata sehemu ambapo aliyeajiriwa hana uchoyo wa information akakupatia gharama za uendeshaji, wewe ukipiga hesabu utajua margins etc.

Ili kuanza kupata wateja, unaweza kumchangia rafiki/ndugu yako anayeoa/kuolewa karibuni kwa kumtengenezea kadi za harusi au send off. Ukiwa creative na kutengeneza kadi nzuri sana, si chema kitajiuza? Unaweza ukazitengeneza kwa gharama tu... yaani kama gharama ya kuchapisha ni TZSH 100,000 wewe unamchaji hiyo bila faida bora kutangaza biashara. Halafu unamuomba nyuma uweke jina na namba yako kwa herufi ndogo bora kama kuna mwenye shughuli karibuni akutafute.

Kila la heri, I hope wenye experience watakutwangia data zaidi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom