Wana MMU Habari Zenu.
Kuna rafiki yangu Mmoja tunafanya kazi Ofisi Moja, na ikatokea wote tukawa tumempenda Msichana Moja. Mwanzoni kwakuwa wote hatukuwa tumempata yule binti tuliwahi kulizungumza hili lakin ilikuwa kiutani na kiurahisi sana. Mambo si Mambo yule binti akanikubali Mimi na nipo nae kwenye mahusiano mpaka sasa.
Hivi karibun kanifuata akaniamboa kuwa mshkaji amekuwa akimchombeza chombeza kuwa ana Mpenda sana, japo huyo mshikaji wangu anafahamu fika kuwa yule binti ni Mpenzi wangu, lakini nyuma ya Pazia amekuwa mara ana mshika kiuno huku akimtamkia kuwa hata yeye anampenda na anaomba wakutane.
Haya Mambo aliniambia Huyu mchumba wangu mwenyewe.. Lakin akaniomba nisimwambie. Nikaushe, kwamva jamaa atachoka mwenyewe.Mimi kidogo nimekuwa napata shida kuvumilia, japo sijamwambia lolote mshikaji na tunafanya kazi Ofisi moja.
Kila mara napotaka kumfuata jamaa kistaarabu nimuombe aache kumsumbua mchumba, Mchumba ananiambia Niache, kwamba sasa jamaa ameacha kumsumbua.
Kwangu kitendo cha rafiki yangu kumtaka girlfriend wangu nakichukulia ni dharau, na kwa kukaa kimya kwangu, jamaa anajua kuwa mchumba hajaniambia kitu or else ningeshamfuata, kitendo kinachomfanya aendelee kumsumbua Mchumba.
Naomba mniambie, kama ungekuwa in My Position, what would you do?
Naona dharau, halafu mchumba nae sometimes niki raise hii ishu ananijibu kwa ukali kuwa, alishaniambia nisimfuate, mara nikimfuata ndio itakuwaje, yaani naona na majibu yake nayo ni ya kibabe.
Hebu nisikie wewe unge handle vipi hii situation?
Kisha mniambie inakuwaje unamtongoza ama kumchombeza chombeza Mpenzi wa Rafiki yako?
Kuna rafiki yangu Mmoja tunafanya kazi Ofisi Moja, na ikatokea wote tukawa tumempenda Msichana Moja. Mwanzoni kwakuwa wote hatukuwa tumempata yule binti tuliwahi kulizungumza hili lakin ilikuwa kiutani na kiurahisi sana. Mambo si Mambo yule binti akanikubali Mimi na nipo nae kwenye mahusiano mpaka sasa.
Hivi karibun kanifuata akaniamboa kuwa mshkaji amekuwa akimchombeza chombeza kuwa ana Mpenda sana, japo huyo mshikaji wangu anafahamu fika kuwa yule binti ni Mpenzi wangu, lakini nyuma ya Pazia amekuwa mara ana mshika kiuno huku akimtamkia kuwa hata yeye anampenda na anaomba wakutane.
Haya Mambo aliniambia Huyu mchumba wangu mwenyewe.. Lakin akaniomba nisimwambie. Nikaushe, kwamva jamaa atachoka mwenyewe.Mimi kidogo nimekuwa napata shida kuvumilia, japo sijamwambia lolote mshikaji na tunafanya kazi Ofisi moja.
Kila mara napotaka kumfuata jamaa kistaarabu nimuombe aache kumsumbua mchumba, Mchumba ananiambia Niache, kwamba sasa jamaa ameacha kumsumbua.
Kwangu kitendo cha rafiki yangu kumtaka girlfriend wangu nakichukulia ni dharau, na kwa kukaa kimya kwangu, jamaa anajua kuwa mchumba hajaniambia kitu or else ningeshamfuata, kitendo kinachomfanya aendelee kumsumbua Mchumba.
Naomba mniambie, kama ungekuwa in My Position, what would you do?
Naona dharau, halafu mchumba nae sometimes niki raise hii ishu ananijibu kwa ukali kuwa, alishaniambia nisimfuate, mara nikimfuata ndio itakuwaje, yaani naona na majibu yake nayo ni ya kibabe.
Hebu nisikie wewe unge handle vipi hii situation?
Kisha mniambie inakuwaje unamtongoza ama kumchombeza chombeza Mpenzi wa Rafiki yako?