Wakuu nimesoma habari BBC kwamba Marekani badoimewawekea vikwazo vya silaha nigeria.
Sasa minajiuliza kwamba USA wanapambana na ugaidi popote ulipo duniani.
Inakuwaje katika kipindi hikikigumu kwa taifa la Nigeria wanapopambana na hawa magaidi bokoharamu than wao bado wanawanyima Nigerian fursa ya kuagiza silaha mpya zakisasa iliwapambane nahilikundi.
Natukumbuke hawa jamaa wakikususa ujue na washirikawake woote wanakupuuzia.
Sasa minajiuliza kwamba USA wanapambana na ugaidi popote ulipo duniani.
Inakuwaje katika kipindi hikikigumu kwa taifa la Nigeria wanapopambana na hawa magaidi bokoharamu than wao bado wanawanyima Nigerian fursa ya kuagiza silaha mpya zakisasa iliwapambane nahilikundi.
Natukumbuke hawa jamaa wakikususa ujue na washirikawake woote wanakupuuzia.