How can Tanzania afford to pay more than in the US or UK?

Mzee Mwanakijiji,
Jibu lako ni rahisi sana kwani Tanzania mwalimu wa shule ya secondary (shule za kata) hana elimu sawa na mwalimu wa shule ya sekondari US wala UK, na pia kazi ya Ualimu kwa Tanzania ni kazi ya mwisho yaani wale walioshindwa maisha ndio hukimbilia wakati nchi za wenzetu kuwa mwalimu unatakiwa kwanza uwe sio tu na shahada (degree) bali umefanya vizuri ktk masomo...
Walimu wengi wa high school tanzania wana shahada na hata siku moja mishahara yao si sawa na mishahara ya walimu wa US,especially ukiongelea distribution ya "wage bill" i.e public/government workers salaries.Tunaangalia distribution ya fedha zilizopangwa kugharamia mishahara na posho za wafanyakazi wa serikali and how it's distributed.
It's pathetic!!,na kuhusu watu kukimbilia ualimu,si kweli hata huku ualimu hasa kwa shule za serikali siyo ajira inayovutia intellectuals kama unavyodai.
 
Hii ndio sababu hatupati viongozi wenye moyo wa kuongoza,ambao watakuwa tayari kufanya kazi kwa maslahi ya wananchi wao..watu wanafata mpunga,yaani sasa hivi hata mitaani watu wanakazania,udiwani baadaye wautafute ubunge wakatajirike..Mwalimu aliowafundisha hao wabunge,ambao si ajabu wengi wao walikuwa vilaza tu anaishia kuishi kama mlalahoi..Itafika mahali watu watatoana roho katika kupata ubunge,yaani kama mimi nautaka halafu naona wewe unakubalika zaidi na unaweza kuupata nakuwaisha fasta kwa sir god au kama vipi nakugeuza kima ili mimi nikaukamate u-millionea..Na kama tunataka kupata viongozi bora watakaosimama na kupigania maendeleo ya Taifa tupunguze hii mipesa tunayowapa kwani wanaishia kuishi kistarehe,kifalme na kusahau kwamba wananchi wao wapo,ambao kwa siku wanakula mlo mmoja na hata ndala wanakopa kwa mangi
 
I have been doing some little studying:

In the US
Average Senator or Rep in the US Congress receive about 174,000USD a year
Average Secondary school teacher receives around 56,000USD a year.
The US Senator or Rep receives about three times the salary of a teacher.

In the UK
Average UK MPs receive about £65,738 a year
Average Teacher's salary in the UK is about £33,333 a year

This means the UK MP receives about 2 times the salary of a secondary school teacher.

In Tanzania
The Tanzania MP receives about 2500USD a month (I'm purposely omitting all the allowances)
The Secondary school teachers receives about 360USD a month

It simply means the MP of Tanzania receive almost 7 times the salary of a secondary school teacher. If I were to put all the MPs allowances which bring his total income about 7000USD you will see that the MP receives in a month almost 18 times the salary that the teacher in Tanzania receives.

Now, will somebody help me what is the basis of the salary structure in Tanzania? Is it based on some arbitrary factor not tied in any way, shape or form to the productivity of the country?
Kijana mwanakijiji hizo data umepata wepi? tanzania hii ticha apewe Tsh 540000????
 
Nasubiri kuona findings za hii study na scope iwe as wide as possible, touching counrties that in the same bracket as our economy. Picha iliyopo hapa ni kwamba Tanzania ina structure za mishahara za ajabu kwa watu wa juu. Mimi nimegusa Kenya, kumkumbusha MMMJ kwamba tatizo hili ni kubwa na siyo hapa tu. Lakini hali hii tumekuwa nayo toka wakati wa uhuru!
 
MM nimekuelewa na nakubaliana na ww kabisa. Nawashangaa watu ambao wanapenda kuhalalisha unyonyaji kwa kuwa tu eti hata kwa wenzetu unatendeka. Nimefurahi kwa kulinganisha mishahara hiyo na ya wakubwa hao. Kwanza wao ndo wanachukuliwa kama mfano katika maendeleo. Wenye akili walisema siku zote jilinganishe na waliokuzidi ili uendelee.

Sasa baadhi ya wanajamvi badala ya kujadili hoja iliyopo na kuona kuwa kuna haja ya kufikia mwisho na hali hii, wanaanza kuhoji nchi jirani nako kukoje. Uchambuzi huu unatosha kabisa kumfanya yeyote mwenye akili kuona hali ikoje. Tatizo kuna baadhi ya watu wapo kwa ajili ya kupinga hoja tu.

Ninajua hata hao wakubwa wanaiona hali hii. Ninashangaa kwanini wanaendelea kutusaidia wakati sisi wenyewe hatuoneani huruma. Ni sawa na baba ambaye anapewa msaada kwa ajili ya familia nzima lakini yeye ananywea pombe msaada huo, ni upumbavu ulioje????

Ni jambo lillilo dhahiri kuwa wateule wetu hawa wanalipwa fedha nyingi ukilinganisha na watumishi wengine wa Umma. Hili tunalizungumzia kwa kuangalia hali ilivyo hapa kwetu. Hatukubali na tunataka wateule wetu walione na walisikie hilo.
 
Hii ni hatari!!!!!!!!!!!!!!!! wakati nchi ya marekani inawalipa wajumbe wa baraza lake la 'congress' USD174,000 kwa mwaka na kenya USD 136,000; Tanzania inamlipa mbunge mmoja USD109,000 Kwa mwaka. kulingana na maendeleo yaliyofikiwa na marekani,ukilinganisha na tz....kiwango wanacholipwa wabunge wa tz ni mara dufu ya ule wa marekani. je tutafika? ndo maana mbowe alisema tunaishi kitajiri ilhali tu masikini.
 
I have been doing some little studying:

In the US
Average Senator or Rep in the US Congress receive about 174,000USD a year
Average Secondary school teacher receives around 56,000USD a year.
The US Senator or Rep receives about three times the salary of a teacher.

In the UK
Average UK MPs receive about £65,738 a year
Average Teacher's salary in the UK is about £33,333 a year

This means the UK MP receives about 2 times the salary of a secondary school teacher.

In Tanzania
The Tanzania MP receives about 2500USD a month (I'm purposely omitting all the allowances)
The Secondary school teachers receives about 360USD a month

It simply means the MP of Tanzania receive almost 7 times the salary of a secondary school teacher. If I were to put all the MPs allowances which bring his total income about 7000USD you will see that the MP receives in a month almost 18 times the salary that the teacher in Tanzania receives.

Now, will somebody help me what is the basis of the salary structure in Tanzania? Is it based on some arbitrary factor not tied in any way, shape or form to the productivity of the country?

M...

these analyses and rationale only work in fair and people oriented government.... Our government and administration is more focused on personal gains, greedy and lies!!!

I wish you all the but i am skeptical with the current contingency of MPs if we can achieve anything
 
M.Mwanakijiji mshahara wa U.S.A au U.K kwa ajili ya walimu ni mkubwa,kwa tanzania ni mdogo sana,kwahiyo wabunge wa hizo nchi wanaridhika na walimu wanaridhika,ila kwetu gap ya teacher na mbunge ni kubwa mno.
 
Back
Top Bottom