Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,501
- 215,356
Ruto ameulizwa kwanini utafiti nchini Kenya unamuonyesha akiongoza orodha ya wakenya wenye tuhuma nzito za rushwa , katika utafiti huo yasemekana Mh Ruto akijinyakulia 33% na kushika jackpot.
Steve Sucker amegusia pia sakata la Wenston Hotel , hebu wakenya fungukeni mtusaidie kwanini huyu Ruto amekuwa mtuhumiwa mkuu wa Rushwa ?
Steve Sucker amegusia pia sakata la Wenston Hotel , hebu wakenya fungukeni mtusaidie kwanini huyu Ruto amekuwa mtuhumiwa mkuu wa Rushwa ?