How a man should love a woman!

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Ephesians 5:33 Nevertheless, each individual among you also is to love his own wife even as himself, and the wife must see to it that she respects her husband.
Ephesians 5:25 Husbands, love your wives, just as Christ also loved the church and gave Himself up for her
1 Peter 3:7 You husbands in the same way, live with your wives in an understanding way, as with someone weaker, since she is a woman; and show her honor as a fellow heir of the grace of life, so that your prayers will not be hindered
Waefeso 5:22-24 "Enyi wake watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama Kristo ni kichwa cha kanisa, naye ni mwokozi wa mwili lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo."

Magomvi na cheating ndani ya ndoa yangeisha!

Mbarikiwe sana kuelekea wiki ya Valentine

Rev Masa
 
Ameeeeeeeeeeeen,Hlleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,Ameeeeeeeeeeeeen Halleluyaaaaaaaaaaa
 
Ephesians 5:33 Nevertheless, each individual among you also is to love his own wife even as himself, and the wife must see to it that she respects her husband.
Ephesians 5:25 Husbands, love your wives, just as Christ also loved the church and gave Himself up for her
1 Peter 3:7 You husbands in the same way, live with your wives in an understanding way, as with someone weaker, since she is a woman; and show her honor as a fellow heir of the grace of life, so that your prayers will not be hindered
Waefeso 5:22-24 "Enyi wake watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama Kristo ni kichwa cha kanisa, naye ni mwokozi wa mwili lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo."

Magomvi na cheating ndani ya ndoa yangeisha!

Mbarikiwe sana kuelekea wiki ya Valentine

Rev Masa

Mkubwa, hiyo ni wish nzuri sana. Lakini kwa sasa hayo mambo hayaishi? Ni mapinduzi gani yafanyike? Au kwenye sekta hii nako kunahitaji wapiganaji kama wale wa CCM? Natamani kuwa mmoja wao ila nami sitataja jina kwenye waraka au maazimio yoyote!:rolleyes::rolleyes:
 
maana mume ni kichwa cha mkewe kama Kristo ni kichwa cha kanisa, naye ni mwokozi wa mwili lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo."
Hapo kwenye nyekundu nimepapenda....
 
Ephesians 5:33 Nevertheless, each individual among you also is to love his own wife even as himself, and the wife must see to it that she respects her husband.
Ephesians 5:25 Husbands, love your wives, just as Christ also loved the church and gave Himself up for her
1 Peter 3:7 You husbands in the same way, live with your wives in an understanding way, as with someone weaker, since she is a woman; and show her honor as a fellow heir of the grace of life, so that your prayers will not be hindered
Waefeso 5:22-24 "Enyi wake watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama Kristo ni kichwa cha kanisa, naye ni mwokozi wa mwili lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo."

Magomvi na cheating ndani ya ndoa yangeisha!

Mbarikiwe sana kuelekea wiki ya Valentine

Rev Masa
Wakuu kama haya ndo maagizo ya mwenyezi mungu kwetu Duniani hizi dharau na haki sawa kwa hawa wamama zinatoka wapi?au nikutokujua ufahamu juu ya maandiko ya biblia?na kama nikweli kwa nini wanaenda kanisani?
 
Hapo kwenye nyekundu nimepapenda....

Haiwezekani. Kama ni hivyo itabidi tupambane ili pabadilishwe. Inapaswa kuwa, "watiini katika kila jambo lililo jema". Hawatakiwi kutii tu hata kama ni upupu! No way, something need to be rephrased!!
 
Mchngaji 'mpya' masa hapo kwenye kiblurei ungetuwekea kiswahili pia kama ulivofanya kwa Waefeso.

Amen
 
Haiwezekani. Kama ni hivyo itabidi tupambane ili pabadilishwe. Inapaswa kuwa, "watiini katika kila jambo lililo jema". Hawatakiwi kutii tu hata kama ni upupu! No way, something need to be rephrased!!

Yaleyale wanapinga hata maandiko ya kiroho!!huu mkakati na utandawazi unaweza kutufanya tuwe wendawazimu kwa kweli.

Loohhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Ephesians 5:33 Nevertheless, each individual among you also is to love his own wife even as himself, and the wife must see to it that she respects her husband.
Ephesians 5:25 Husbands, love your wives, just as Christ also loved the church and gave Himself up for her
1 Peter 3:7 You husbands in the same way, live with your wives in an understanding way, as with someone weaker, since she is a woman; and show her honor as a fellow heir of the grace of life, so that your prayers will not be hindered
Waefeso 5:22-24 "Enyi wake watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama Kristo ni kichwa cha kanisa, naye ni mwokozi wa mwili lakini kama vile kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo."

Magomvi na cheating ndani ya ndoa yangeisha!

Mbarikiwe sana kuelekea wiki ya Valentine

Rev Masa

hapo kwenye red huwa kuna leta mgongano sana nadhani huwa tunasahau hiyo phrase inavoanza.......kama vile kanisa limtiivyo Kristo..........
 
Yaleyale wanapinga hata maandiko ya kiroho!!huu mkakati na utandawazi unaweza kutufanya tuwe wendawazimu kwa kweli.

Loohhhhhhhhhhhhhhhhhhhh

Sawa mkuu, lakini unadhani practically hayo yanawezekana? Hata watawa wenyewe wameweza kutekeleza hayo? Assuming tunaongelea mapadre na masisita wao!
 
Haiwezekani. Kama ni hivyo itabidi tupambane ili pabadilishwe. Inapaswa kuwa, "watiini katika kila jambo lililo jema". Hawatakiwi kutii tu hata kama ni upupu! No way, something need to be rephrased!!

DC ofcoz ....kama vile kanisa liimtiivyo Kristo....ni kwenye mambo mema.

(kuna wanaume wengine wanawalazimisha wake zao kufanya mapenzi kinyume na maumbile....wasije waka-justify kwa kutumia maandiko hayo)
 
Haiwezekani. Kama ni hivyo itabidi tupambane ili pabadilishwe. Inapaswa kuwa, "watiini katika kila jambo lililo jema". Hawatakiwi kutii tu hata kama ni upupu! No way, something need to be rephrased!!

Ndugu yangu imeandikwa andiko hili lisibadilishwe!
 
DC ofcoz ....kama vile kanisa liimtiivyo Kristo....ni kwenye mambo mema.

(kuna wanaume wengine wanawalazimisha wake zao kufanya mapenzi kinyume na maumbile....wasije waka-justify kwa kutumia maandiko hayo)

Kweli binamu!
 
DC ofcoz ....kama vile kanisa liimtiivyo Kristo....ni kwenye mambo mema.

(kuna wanaume wengine wanawalazimisha wake zao kufanya mapenzi kinyume na maumbile....wasije waka-justify kwa kutumia maandiko hayo)

Nilijua hili lazima utalikemea! Enyi wanawake hebu watiini waume zenu, kama dhambi ni ya mwanaume wewe unakuwa umetekeleza andiko
 
Ndugu yangu imeandikwa andiko hili lisibadilishwe!

Mkuu, nadhani kukata rufaa kunaruhusiwa. Itabidi tumwombe papa ajaribu. We unategemea nini kama ikiendelea kuwa hivyo wakati tuko kwenye 50% kwa 50%? Si itakuwa kama Bongo kujiita nchi ya kijamaa hadi 2010+?
 
Mkuu, nadhani kukata rufaa kunaruhusiwa. Itabidi tumwombe papa ajaribu. We unategemea nini kama ikiendelea kuwa hivyo wakati tuko kwenye 50% kwa 50%? Si itakuwa kama Bongo kujiita nchi ya kijamaa hadi 2010+?

Nakutafutia kipengere hutakiwi hata kuwaza hayo ulo nayo!
 
Nakutafutia kipengere hutakiwi hata kuwaza hayo ulo nayo!

Nilijua hili lazima utalikemea! Enyi wanawake hebu watiini waume zenu, kama dhambi ni ya mwanaume wewe unakuwa umetekeleza andiko

jisome mwenyewe ulicomjibu DC.....

kanisa na Kristo.....kama vile kanisa limtiivyo Krito.....mimi leo narefer hapo tu maana ndo pamebeba uzito wote
 
Back
Top Bottom