X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
Katika nyumba moja, walikuwa wanakaa mtu na mkewe pamoja na mfanyakazi wa ndani wa kike. Siku moja mke akapotelewa na chupi zake 3. Akamamua kumuuliza mfanyakazi wake kama kachukua chupi zake. Mfanyakazi wa ndani akamkatalia katukaatu kuwa ameiba chupi, kesi ikafika kwa mume... Mashtaka yakawa kama ifuatavyo...
Mke: mume wangu mfanyakazi ameniibia chupi zangu...
Mume akamuita mfanyakazi na kumuuliza... " eti kweli umechukua chupi za mamako?!"
Mfanyakazi akajibu (huku akiona aibu kidogo) " Aku mie sijachukua chupi... kwani we si unajuaga mimi sivai chupi? Tena hizi chupi za nini mie...
Mke: mume wangu mfanyakazi ameniibia chupi zangu...
Mume akamuita mfanyakazi na kumuuliza... " eti kweli umechukua chupi za mamako?!"
Mfanyakazi akajibu (huku akiona aibu kidogo) " Aku mie sijachukua chupi... kwani we si unajuaga mimi sivai chupi? Tena hizi chupi za nini mie...