Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Nina House Girl nimekaa nae mwaka wa 10 sasa...nimemchukua akiwa na Miaka 18 sasa ana Miaka 28
Ananiambia kuwa alienda Mlimani city mwezi January wakati nipo Msibani Moshi akatongozwa na Kaka Mmoja wakapeana namba za simu.. Kwanza akijua muhuni Tu wa kutupa
Akaamua kujiongeza akaongea na rafkiangu amsaidie kujua kama Huyo bwashee NI jambazi au raia akakuta jamaa hajaoa anatafuta mke wa kuwowa... anafanya KAZI Banki moja hapa Dar... Hana mtoto na wamepishana Miaka 10
Mahari nimepokea jana na mume wangu na leo tumeenda KUTOA sadaka ya shukrani Kanisani Ibada ya Kwanza
Fundisho la somo hili NI kwamba:
Kuna watu naskia mmegoma kwenda Mlimani City kisa mitoto ya chuo kibao na ma-housegirl
Kumbe mnapishana na miujiza yenu 😂😂😂
Mlimani City Oyooooo!
Kwa wale mnaopenda utomaso Karibuni mumchangie housegirl wangu ili kwenye sendoff mumwone bonge la bwana aliempata
Msikate tamaa akina singo leidiii muendage mlimani city jamaa yeye anasema alienda siku ya jumamosi..
Ananiambia kuwa alienda Mlimani city mwezi January wakati nipo Msibani Moshi akatongozwa na Kaka Mmoja wakapeana namba za simu.. Kwanza akijua muhuni Tu wa kutupa
Akaamua kujiongeza akaongea na rafkiangu amsaidie kujua kama Huyo bwashee NI jambazi au raia akakuta jamaa hajaoa anatafuta mke wa kuwowa... anafanya KAZI Banki moja hapa Dar... Hana mtoto na wamepishana Miaka 10
Mahari nimepokea jana na mume wangu na leo tumeenda KUTOA sadaka ya shukrani Kanisani Ibada ya Kwanza
Fundisho la somo hili NI kwamba:
Kuna watu naskia mmegoma kwenda Mlimani City kisa mitoto ya chuo kibao na ma-housegirl
Kumbe mnapishana na miujiza yenu 😂😂😂
Mlimani City Oyooooo!
Kwa wale mnaopenda utomaso Karibuni mumchangie housegirl wangu ili kwenye sendoff mumwone bonge la bwana aliempata
Msikate tamaa akina singo leidiii muendage mlimani city jamaa yeye anasema alienda siku ya jumamosi..