houseboys/shambaboys wanatuharibia watoto wetu wa-kiume

BAGAH

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
4,523
1,060
...zipo nyumba mbili za watu wenye hela hapa jirani na ninapokaa...na watoto wakishua wanaishi humo, lakini wanagawa "fuko la mbolea", na wakongwe wa hili eneo wanadai ni shambaboy alimuanzishia mchezo....(kwa sasa wako form two shule moja maarufu ya wakubwa hapa daslamu)
hii ni mbaya maana dogo watashindwa kuacha, na sasa km ni BANK imekuwa na matawi..sio ishu ya shambaboy tu, na wadau wengine mtaani wanatupia maana watoto wamezoea!!!
tuwe makini na hawa watu wajameni , kama wakibanwa saana basi aombe chezo kwa housegirl!!
 
Hayo yote ni matokeo ya wazazi kutokua na mahusiano na watoto wao. Kuna mada ilianzishwa kuhusu watu wanaoharibu watoto MMU. . ukitaka itafute.

Alafu 'mfanyakazi wa kiume, kaka wa kazi' ni bora kuliko majina uliyotumia.
 
Hayo yote ni matokeo ya wazazi kutokua na mahusiano na watoto wao. Kuna mada ilianzishwa kuhusu watu wanaoharibu watoto MMU. . ukitaka itafute.

Alafu 'mfanyakazi wa kiume, kaka wa kazi' ni bora kuliko majina uliyotumia.
umetafsiri tu hapo mama....hakuna jipya!!!
 
unakuta imetolewa shamba huko na kichupa kimejaa,.ukimbaini unamkata govi lake..afu unamuitia mwizi.
 
umetafsiri tu hapo mama....hakuna jipya!!!

Kwani nilisema kua nimevumbua majina mapya?

Kwasababu tu mtu anaweza akamuita msichana demu na akamaanisha msichana haina maana hilo neno demu ni zuri.
 
We need to come up with a system ya kulea watoto wenyewe au kuwaweka katika vituo vya malezi pale sisi tunapokuwa hatupo nyumbani kama tukienda kazini

Watoto wa kiume/kike wanakuwa abused sexually majumbani humu, tuwe makini sana
 
We need to come up with a system ya kulea watoto wenyewe au kuwaweka katika vituo vya malezi pale sisi tunapokuwa hatupo nyumbani kama tukienda kazini

Watoto wa kiume/kike wanakuwa abused sexually majumbani humu, tuwe makini sana

Na si hao tu, nmeshawahi sikia mahijiano kadhaa ya mashoga, wengi wanakiri kuanzishiwa hiyo tabia na ndugu zao wa karibu walioishi nao utotoni, hasa wajomba, baba wadogo, nk. pia kosa kubwa ni kuruhusu watoto kulala na watu wazima chumba kimoja!
 
Na si hao tu, nmeshawahi sikia mahijiano kadhaa ya mashoga, wengi wanakiri kuanzishiwa hiyo tabia na ndugu zao wa karibu walioishi nao utotoni, hasa wajomba, baba wadogo, nk. pia kosa kubwa ni kuruhusu watoto kulala na watu wazima chumba kimoja!

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/208666-tuwe-makini-mafataki-pedofiles-wengi-tunao-majumbani-mwetu.html

Yani uliyosema ndio yaliyomo kwenye hiyo thread. . .
 
Na si hao tu, nmeshawahi sikia mahijiano kadhaa ya mashoga, wengi wanakiri kuanzishiwa hiyo tabia na ndugu zao wa karibu walioishi nao utotoni, hasa wajomba, baba wadogo, nk. pia kosa kubwa ni kuruhusu watoto kulala na watu wazima chumba kimoja!
hii hata mm nina ushahidi wa kutosha ruaaika...hujakosea hata kidogo!!utakuta kijeba kimeshabalehe umri umesonga,hajaoa ana kama 27-30+ analala na dogo ambaye ni teenager, ni rahisi kumshawishi na kuibadil sexual orientation ya dogo totally...
 
Back
Top Bottom