BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
...zipo nyumba mbili za watu wenye hela hapa jirani na ninapokaa...na watoto wakishua wanaishi humo, lakini wanagawa "fuko la mbolea", na wakongwe wa hili eneo wanadai ni shambaboy alimuanzishia mchezo....(kwa sasa wako form two shule moja maarufu ya wakubwa hapa daslamu)
hii ni mbaya maana dogo watashindwa kuacha, na sasa km ni BANK imekuwa na matawi..sio ishu ya shambaboy tu, na wadau wengine mtaani wanatupia maana watoto wamezoea!!!
tuwe makini na hawa watu wajameni , kama wakibanwa saana basi aombe chezo kwa housegirl!!
hii ni mbaya maana dogo watashindwa kuacha, na sasa km ni BANK imekuwa na matawi..sio ishu ya shambaboy tu, na wadau wengine mtaani wanatupia maana watoto wamezoea!!!
tuwe makini na hawa watu wajameni , kama wakibanwa saana basi aombe chezo kwa housegirl!!