Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,738
Niliposikia kauli ya Chili eti wabunge wa CHADEMA wanaweza kufukuzwa bungeni, nilimshangaa na kusema huyu ni Spika, naibu, au...? hata sheria na kanuni hajui, anaongea tu, uzee unamjia vibaya, nafikiri ule muda wa wabunge sasa kupeana na kushikishana adabu umefika, ngumi puuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhh, maana it hurts mtu mzima anaongea kama yy ni mungu mtu, sometimes displine inapatikana kwa kuzichapa natoa mawazo fanyieni kazi.