Karibu RENT A MAID cleaning services

CathLiv

Senior Member
Mar 11, 2017
112
52
Je, wewe ni mama, baba au mlezi ambaye majukumu nyumbani wamekunyima uhuru wa kuingiza kipato?
Ni kampuni ya RENT A MAID chini Tanzania inayo suruhisha tatizo hili kwa kukupatia wasichana/mama (Umri 18 na kuendelea) wenye mafunzo yakinifu katika kazi za nyumbani.
Karibu...

TUPIGIE/WhatsApp 0769321005

BUGANDO-MWANZA
877270d07c945a95e85ac97be53a3119.jpg
 
Hao wanawaweza wazungu kwa wanawake wakibongo watawamwagia maji ya Moto,
Kwani asilimia kubwa ya dada zetu wanaongozwa na wivu kuliko kumuhudumia mume,
Sasa sipati picha mume akimsifia dadawa kazi patawaka.
 
MDADA WA KAZI.
Punguza majukumu kwa kupata msaidizi wa kazi za ndani kutoka *Rent A Maid Company* MDADA ambaye ana sifa zifuatazo..
Umri miaka 18 na kuendelea. (katiba)
Ana mafunzo ya mapishi bora.
Malezi ya watoto (Umri 0-17)
Anaelimu ya kuwasaidia wanao homeworks
Anayoelimu ya mazingira na utunzaji wa bustani nyumbani.
Kwa mshahara wa laki moja (T-shirt 100,000)
Kizuri zaidi ni kwamba unaweza kubadilishiwa endapo hujaridhika na utendaji kazi wake pia mkataba upo ili kulinda uaminifu baina ya mteja na kampuni.

Karibu tuwasiliane kwa PIGA:0769321005
AU
SMS/WhatsApp 0769321005.

Email:
auctioneertz@gmail.com au
ramtz@yahoo.com
dad39b007e0ad5b73e3536ee1d49bf77.jpg


Halafu nyie mwamlipa 30,000/- Siwezi kuwa sehemu ya huu unyonyaji, na hata nikimchukua mwezi unaofuata nampa hiyo laki direct ANAWATEMA.....
 
Halafu nyie mwamlipa 30,000/- Siwezi kuwa sehemu ya huu unyonyaji, na hata nikimchukua mwezi unaofuata nampa hiyo laki direct ANAWATEMA.....
no research no right to speak.
Nani kasema 30% ya mshahara wake.?
MUCH KNOW IGNORANT
 
Aisee katika vitu ambavyo huwa navipinga katika maisha yangu ni Kumchukua binadamu wenzako na kumtumikishakama punda.Hii nimechukia zaidi baada ya kuona hadi wanakodishwa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom