Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Mke ndio kaamua kukuvungia tu ili usimuulize mengi ya alikotoka, utumie muda mwingi kutafuta namna ya kumuaminisha zaidi ulikua huendi kwa mchepuko
Bora waif wako anamwacha haus gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Kabisa mkuusi ajabu hata safari hakwenda alikuwa kwa X mchepuko wake wakila raha zao.
Subiri mwisho wa mwezi beki tatu akitaka kupandishiwa mshahara alafu mshindwe ndio utajua hujui!!Kwema wakubwa?
Wife alisafir kama week hivi imepita..home akaniacha mimi na dada wa kazi.
Sasa me toka juzi nilikuwa silali home,nilikuwa nalala kwa mchepuko wangu flani hivi hapa mtaani.nilikuwa narudi home asubuhi, so kumbe nahisi wife ni kama alikuwa kaweka mtego, Leo karudi asubuhi ghafla, hakunikuta home.kumuuliza house girl nilipo,akajibiwa kuwa nimeenda church kumbe toka jana usiku niko zangu kwa mchepuko.asee nimerudi nikamkuta wife yuko bafuni ,tukasalimiana akaniuliza habari za church nami nikazuga nilikuwa church kweli.hapa nafikiria kumtafutia Huyu house girl kazawadi kazuri kwa kuniepusha na ule msala.
Mie wangu alikuja wa kawaida,kakaa hapa miezi 7,ameiva kinyama. Juzi kaaga anaenda kwao Dom atarudi,nashangaa mamaake kasema hatorudi tena anaolewa. Yaani imeniuma balaa. Namuuliza wife kama ana namba zake anasema hana,nilitaka nimuwahi aisee kabla hajaolewa. J5 naenda Dom,ningemdaka hukohuko.Bora waif wako anamwacha haus gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Most likelysi ajabu hata safari hakwenda alikuwa kwa X mchepuko wake wakila raha zao.
Mi nilikosea nikaropoka kwa mama chanja , kuwa sara( house girl )siku hizi naona anapendeza ,Bora waif wako anamwacha haus gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Both Team To Score.si ajabu hata safari hakwenda alikuwa kwa X mchepuko wake wakila raha zao.
HeheheheKwema wakubwa?
Wife alisafir kama week hivi imepita..home akaniacha mimi na dada wa kazi.
Sasa me toka juzi nilikuwa silali home,nilikuwa nalala kwa mchepuko wangu flani hivi hapa mtaani.nilikuwa narudi home asubuhi, so kumbe nahisi wife ni kama alikuwa kaweka mtego, Leo karudi asubuhi ghafla, hakunikuta home.kumuuliza house girl nilipo,akajibiwa kuwa nimeenda church kumbe toka jana usiku niko zangu kwa mchepuko.asee nimerudi nikamkuta wife yuko bafuni ,tukasalimiana akaniuliza habari za church nami nikazuga nilikuwa church kweli.hapa nafikiria kumtafutia Huyu house girl kazawadi kazuri kwa kuniepusha na ule msala.
Aliyeuza cheni feki kalipwa fedha bandiaWife wako yumo humu kishakusoma ila ameamua kukuonea huruma tu kwa sababu na yeye huko alikokuwa alikuwa anagawa papuchi kama KAWA kwa hiyo ngoma draw.
Bora waif wako anamwacha haus gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Kwani si tulikubaliana kwenye ndoa waingie wanaume wenye akili tu au
Mie wangu alikuja wa kawaida,kakaa hapa miezi 7,ameiva kinyama. Juzi kaaga anaenda kwao Dom atarudi,nashangaa mamaake kasema hatorudi tena anaolewa. Yaani imeniuma balaa. Namuuliza wife kama ana namba zake anasema hana,nilitaka nimuwahi aisee kabla hajaolewa. J5 naenda Dom,ningemdaka hukohuko.
Sent using Jamii Forums mobile app