figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
Ameamua kutoro na elfu22 saa mbili usiku.saa nee ikatolewa taarifa polisi.kesho tukampigia rafiki yake wa kiume kijijini kama ana taarifa nae.yule wa kajijini kasema amepigiwa simu na huyo msichana kaambiwa amkome kapata mchumba mwingine mjini mnyakyusa.kesho yake akaja mvulana analalamika mtoto wenu hataki kutoka kwangu.anasema mimi nlimwambia ntamuoa nikimaliza shule 2014 sasa kwanini mumemfukuza?alilala kwangu.tulivyoenda kumchukua arudishwe kwao tukakuta kashaondoka tena.wazazi wake wanamtaka mtoto wao