House Girl akaleta kisirani “Trial marriage” yangu ikaota mbawa………!

Lakini ni funzo kwa kina baba wanaotake advantage kwa wadada wa kazi, sio wote ni honest au naive kiasi hicho!

Hongera kwa utunzi, hiyo inafaa kuwa movie tosha, kwa waandishi wazuri wa script

ntampelekea hii inshu kanumba au ray soon tu..
 
angemfungulia kesi... daaah... Hacra zilishanchemka kwa huyo beki3... Ningembeba dogo hadi kwa mchumba wa zamani nkamuonesha chezo nlochezewa...
 
Mtambuzi inaonekana una kipaji cha narrative na kila mara unakuwa na ujumbe. Kwa kuwa watunzi wetu wa zamani wanatutangulia si vibaya ku polish kidogo tungo na kuandika vitabu. Watoto wapate motisha ya kusoma kama sisi tulivyosoma kina Elvis Musiba, Hammie Rajab, Katalambula, Ben Mtobwa, Agoro Anduru na wengine.

Kuanzia hapo hata zinaweza hata kutengenezwa filamu.
 
Mtambuzi inaonekana una kipaji cha narrative na kila mara unakuwa na ujumbe. Kwa kuwa watunzi wetu wa zamani wanatutangulia si vibaya ku polish kidogo tungo na kuandika vitabu. Watoto wapate motisha ya kusoma kama sisi tulivyosoma kina Elvis Musiba, Hammie Rajab, Katalambula, Ben Mtobwa, Agoro Anduru na wengine. Kuanzia hapo hata zinaweza hata kutengenezwa filamu.
Hiki kipaji ni kutokana na uzoefu wa visa na mikasa nilivyopambana navyo ujanani...................................
 
angemfungulia kesi... daaah... Hacra zilishanchemka kwa huyo beki3... Ningembeba dogo hadi kwa mchumba wa zamani nkamuonesha chezo nlochezewa...
Hata house girl alipojifungua, mchumba wa Kinyamwezi alishaolewa kitamboo.................................!
Siku hizi tukionana tunabaki kutaniana tu lakini utukufu sioni ndani, kwani ashakuwa mke wa mtu
 
Hizo shanga na umbo vyaleta mhemko wa hatari.
OTIS
Na ndio maana nawaogopa ma house girl wa Mikoa ya Kusini.................
Nitakuwa natafuta ubaya na mama Ngina wangu.
 
nini hao wa mwaka 1997, ma housegirl wa siku hizi wanakuja na mawili kichwani...
wengine wanadiriki kuuliza kama kuna "baba"
baba ukiwa legelege mpenda vya bure kwishney
Siku hizi wameanzisha mchezo wa kugombea namba na wake zetu..................................
Mke asipowajibika tu, wanachukuwa nafasi.
 
Siku hizi wameanzisha mchezo wa kugombea namba na wake zetu..................................
Mke asipowajibika tu, wanachukuwa nafasi.

si kwamba mke asipowajibika, wengi wao siku hizi wanakuja kwa malengo ya kupindua, baba ukiwa macho juu inakula kwako.
ndo maana wanajitahidi kujitegesha mbele za akina baba, wengine wakienda kuoga kimlango atakiacha wazi kidogo makusudi...
mwisho wa siku yanatokea kama ya jamaa
 
Mreno safari hii umepatikana kwa HouseGirl..pole sana

Hii inafundisha watu kuepuka vishawishi..hebu fikiria japo alipata mtoto chotara lakini kashamwaribia mtu uchumba wake kwa starehe ya usiku mmoja tu.
 
Haki ya Mungu, naumbuka mchana kweupeee........................................

dhambi ni gharama sana. imenikumbusha jinsi nilivyokuwa nafunga safari kwenda mikoani kufwata mademu nikija kukaa chini na kuangalia gharama nizizotumia kama hiyo hela ingekuwa bank basi saa hii ningekuwa naitwa fisadi mtoto.
kwasasa ingawa sijaokaka kama wewe lakini najitambua kuwa dhambi zina gharama sana
 
Hata house girl alipojifungua, mchumba wa Kinyamwezi alishaolewa kitamboo.................................!
Siku hizi tukionana tunabaki kutaniana tu lakini utukufu sioni ndani, kwani ashakuwa mke wa mtu

nikikutana na mac x wangu mmoja huwa ananitania kwa kuniambia awali ni awali na hakunaga awali mbovu hivyo hata ikiwa haoni tena utukufu wake lakini hakuna kovu lililofichika mwilini mwake ambalo hukulifichua
 
Kweli yalikukuta, kulea mimba ya muarabu?
Mke mtarajiwa sijui alipata mwanaume mwingine wa kumuoa? hebu mtambuzi fuatilia hili
 
Back
Top Bottom